Habari wapendwa wote wa jamii forum...nawashukuru sana na michango yenu mbalimbali hasa katika kujikwamua na hii haili ngumu...
Mmi nina hela yangu kidogo kama mil 5 hivi na nina eneo la shamba huko kisarawe sas nilikuwa naomba ushauri kwa wazoefu je...nijiingize kwe kufuga au nianzishe duk ala nguo za watoto ambalo tutachanga na rafiki yangu na kuwa wawili.
natanguliza shukrani zangu.
Mmi nina hela yangu kidogo kama mil 5 hivi na nina eneo la shamba huko kisarawe sas nilikuwa naomba ushauri kwa wazoefu je...nijiingize kwe kufuga au nianzishe duk ala nguo za watoto ambalo tutachanga na rafiki yangu na kuwa wawili.
natanguliza shukrani zangu.