Freema Agyeman
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 3,666
- 3,524
Jamani inanishangaza, hii si mara ya kwanza kuliona na leo nimeamua kulivalia njuga. Jamani hebu liangalieni hili, utakuta mwanamke, mdada bado hakubahatika kuolewa na ukimfuatilia kwa undani utagundua ana kazi yake nzuuuuuuri tuu,ila hana cha boyfriend wala fiancee. Cha ajabu kila cku anajivalia pete ya ndoa tena ya gharama kubwa,tena wakati akitembea anaurusha ule mkono wenye pete kwa maringo makubwa ili kila apishanaye aione. Hivi hamuoni kama hii ni kutaka kujipotezea bahati ya kuolewa au? Au wana jf mnalizungumziaje hili?
Watu wanaogopa malumbano kwenye ndoa, so wameona isiwe maneno bora kujivalisha pete kuepukana na wanaume walafi na walaghai.
Huo ni ugonjwa kama yalivyo magonjwa mengine ya impotence na aina hiyo. Wasaidieni hao!
wewe wasema.