Wajua me sioni hata kama kuna sababu ya kulaumu baraza...si sahihi...
Dini ya Kiislam haimlazimishi mtu kutoa sadaka, haina kiwango cha sadaka. Basi kutokana na hayo wengi wao washazoea kutoa sadaka sh. 100 mwingine hata kutoa hatoi kabisa....Zaka na sadaka wengine huwapa watu masikini n.k...
Me ningekuwa wa karibu ya Lowasa ningemshauri asihame CCM kwenda CDM kisa ni kukosa uraisi na kwenda kusaka urais CDM...Maana akikosa nahisi ataweza jitundika kwasababu anauchu sana wa Madaraka..
Vile vile nahisi atakosa tuu kwasababu tayari ashawahi pata doa la ufisadi.
Na CDM wakimpokea...
Naimani watu wakiondoa ule UMIMI, UDINI, baasi tutabadilika na kupambana na hivi vitu....Utamjua mtu anaudini tuu hata kwa comment zake...
Unatakiwa usizungumzie dini yangu NZURI ongelea DINI ZETU nzuri.....
Tukiondoa umimi, uwangu tutafanikiwa...Tukirudia ilivyokuwa enzi za nyuma, Mtu akimuona...
Hivi vikundi vinavyoashiria kuelekea kuja kuwa magaidi vipo kibao...Hao Panya road, Mbwa mwitu ni hao hao baadae wanakuja kuwa magaidi ikiwa serikali haichukulii kwa umakini makundi haya...Leo hii wadogo wanaitwa panya wakikuwa hao wataitwa Magaidi na roho zao za mauaji zitakuwa zishakuwa sugu...
HAHAHAHAHA fimbo badala ya kumchapa Pengo imemrudia mwenyewe...
Me huwa Pengo namuaminia...Haongei hovyo ila akiongea kaongea point.......Utawawezaje washika waumini masikio wasifanye kitu fulani wakati kila mmoja ana uhuru wa kupigia kura anachopenda na kila mmoja anaakili timamu...Angalia sasa...
hahahahahaha hehehehehehe wapambaji wengine bwanaa!!! Huyo mpambaji akutane na mie bi harusi kigego hiyo makeup akimaliza naitoa yoote najiremba mwenyewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.