Pozi la ruhusa

Pozi la ruhusa

Si naskia ana helikopita hhyu.si ndo ingefanya kazi zake..malaika gabriel kaenda kumuona dk mwanadamu.!!haha ama kwli wajinga ndio waliwao..huyu si ndo kila jpili anaimiza waumini wake wasiende mahospitalini waende kwake wakaombewe.??bullshitt.!!
 
Hilo ni fundisho tosha tumepewa uhuru wa kuongea lakini usipitilize mipaka
 
Akitoka hapo ibada ya kwanza yooooote ni USHUHUDA tuuu, kwa mambo makuu Mungu aliyomtendea, aiseeee........
 
Ila watu ni wamebobea kwenye fani zao, yaani mtu anapigwa maswali mpaka anazirahi?
 
Hilo ni funzo usimdhihaki mpakwa mafuta wa Mungu yeyote yule anayewaongoza watu katika Imani ya kweli awe wa Dini yoyote.
Yaani almanusura tumbadilishe jina kisa mdomo.

Alipakwa "mafuta" kule Sumbawanga?
 
Back
Top Bottom