duh,mi ndio nilikuwa bingwa wa kukata vinyuzi vya watu,kisoda changu nilikiponda sana kikawa na mzingo mkubwa hivyo ilikuwa lazima cha kwangu kianze kugusa kamba yako,pia nilikuwa na mbinu chafu nyingi kama kuleta upandeupande au kukata kamba yako upande wa vidole..pia kamba yangu ilikuwa fupi,nilikuwa hatari lakini kwa mbinu mbinu tu kama chenge!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.