Waki bet watu mil moja kwa siku (in 24 hrs) kila mmoja akaweka buku, acha wale wanaoweka pesa ndefu basi mapato yanakuwa hivi
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kama heading inavyosomeka , natafuta sehemu ya kukaa zanzibar/unguja kwa mwezi mmoja , kama naweza pata sehemu nayoweza lipia at least 200k per month itakuwa bora zaidi kuwe Kusafi na salama, chumba kimoja kinatosha kabisa nina kazi za mda mfupi huko
Njoo PM tuongee
Sasa siku nzima unaangalia tv hizo na wewe si utakuwa wale wale tu , weka nat geo , discovery , super spot , bbc uone kama utakutana na ujinga..
Sent from my iPhone using JamiiForums
Inawezekana device yako hai support hiyo resolution , unaweza kuwa na ram kubwa na ukawa updated lakini pc yako haina support ya hiyo resolution . Hapo utahitaji ku convert
Sent from my iPhone using JamiiForums
Jeshi la marekani halijawahi kubuni internet , kazi hizi kwa ufasaha kabisa huwa zinafanywa na makampuni au watu binafsi ...
Kuanzia tu ingia wikipedia then angalia source zingine jeshi lilidakia hii technology juu kwa juu kwa kutoa fedha/fund kwa project za internet lakini mtengenezaji ni nje...
Hata Dar es Salaam maduka yanahesabika na penyewe ukienda hukuti wameziweka display kama simu nyingine . Sana sana yale maduka makali utakuta toy za iphone tu au kama zipo unakuta mbili tatu... !
Bongo asilimia zaidi ya 90 iphone zinazotumika ni used au za miaka ya nyuma. iPhone X zinahesabika...
Apple wana biashara nzuri , wana biashara ya faida kuliko kampuni yoyote duniani (Mapato toa matumizi) na Hii ndo mojawapo inawapandisha kwenye stock market wanakuwa juu .. usisahau pia kwamba apple wenyewe ni wakubwa wana products na service nyingi sana...
Siyo kweli , innovation huwa zinaingizwa jeshini toka kwa watu binafsi au makampuni.. Mpaka sasa vifaa vingi vya kijeshi haviundwi jeshini, vinaundwa na makampuni binafsi kwa mikataba maalum ..!
App ziko kibao ila video vault hapo kwenye picha ndo the best (from my experience) iko Fasta na menu yake ni easy , Ina download toka site yoyote yenye video plus you tube videos ..
Ronaldo came to Juvetus this season! This will be the prospect of fans of Turin! Here you will surely be connected with the juvenile Dybala Youth Games! This is probably a new soccer boy in football
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.