Kumbe aunt Zubby ni mke wa Kubenea......waoh sikulijua hili.....huyu dada anastahili kabisa ni kamanda wa ukweli na amekitumikia chama ipasavyo ana vigezo vyote....
Hapana mkuu swala ni huyo Dr. Bujari kuwa mgombea kama ni yeye ila kupitia Nccr shida hakuna kabisa.......kumbuka tunachotaka ni ushindi na ndie mgombea anaekubalika sana
Wana mabadiliko kuna sintofahamu inaendelea hapa Ngara tulitegemea Dr Bujari ndio atapeperusha bendera ya ukawa kupitia Chadema, sasa naona jimbo wameachiwa Nccr Mageuzi ambao kwa kweli huku hawana mtandao kama Chadema kwa sasa.......na huyu ndio pekee aliyekuwa amebaki kama tegemeo na anaeweza...
Chadema wanaweza kuwa na mapungufu yao lakini kwangu mimi ni mashujaaa tena sana. Hivi kweli mtu unasema unaipenda CCM kwa lipi? unafiki pembeni jamani kweli bila upinzani ukiongozwa na Chadema hivi hii nchi ingekuwa wapi....muogopeni Mungu jamani hata kama mnaneemeka na hiyo CCM kumbukeni...
Hata kama sio TISS walioutengeneza lakini hii inaonyesha pia wanatumika, wao baada ya kuipata hiyo video kwa nini wai-upload u tube? Lengo lao lilikuwa ni nini? Kwani wasingeweza kuifanyia kazi bila kuiweka mitandaoni?
Na inaonyesha wao ndio walioiweka mtandaoni maana Bw. Michuzi anawapongeza...
Vijana someni acheni ligi zisizo na maana, nyinyi ndio baada ya kumaliza chuo mnaanza kulalamika ajira hamna...nadhani tuna tatizo la kimfumo na mimi nasema alaaniwe kabisa aliyeanzisha ufisadi na rushwa Tanzania. Ndio maana kila mtoto anaekua anafikiria kuwa mhasibu, mwanasheria n.k kwa sababu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.