Recent content by IL-HAMU

  1. I

    Anaewajua wanyamwezi anisaidie

    Wanyamwezi wana maneno matamu radhaa ya tende utamu wa kuzaliwa. Upo shemjiiiiiiiiiiiiiiiiii
  2. I

    Malezi ya DADA WA KAZI.

    mmh! mweleze haraka iwezekanvyo. sijajaliwa kupata mwana ila imeniuma mno
  3. I

    Nikifanya mapenzi ninafika mshindo ndani ya dakika moja tu!

    Badala ufikirie shule na maisha yako ya baadae, wafikiria kudonyoana tu.
  4. I

    Eti anaoteshwa?

    Soga huyo tapel hasa kimbiaaa:llama:
  5. I

    Bikira inanitesa

    wewe waharibifu wote wachukua certificate kwako. ] pumbavuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!
  6. I

    Mchumba ninayekaribia kumuoa simuelewi

    kaka ndoa haijalibiwi . fikir kabla ya kutenda
  7. I

    Mke wangu wa NDOA ananilazimisha nitoke nje ya Ndoa

    duuuuuuuuu! pole sana kaka.
  8. I

    Nimeamua kutembea na binti wa Kazi, sina jinsi

    Mhhhhhh! mate yamenijaa mdomoni kwa kweli!
  9. I

    Tafadhal nahitaj msaada wk nko njia panda???

    si umuache wanawake tuliojaaa! wamng'ng'ania wa nini ladha yenyewe ya ndimu ngozi ya limao. nenda kwenye ladha ya TENDE utamu wa kuzaliwa.
  10. I

    Nyumbani wamemkataa mchumba wangu. sababu: mhaya!

    mhhhhhhhh! wahaya wanavijimambo vyao ni lazima wavifanye.
  11. I

    Nifanyeje

    Kaka mimi ni mwanamke na nilisha tokewa na kisanga km hicho. niliposema naacha jamaa hakuamini hv sasa nala bata kwa kwenda mbele. HUYO TUPA KULEEEEEEEEEE!
  12. I

    Mchumba ninayekaribia kumuoa simuelewi

    Mhhh! pole sana bro. mwanamke akiwa na vijitabia hivyo ni mstihani sana kwa kweli.
  13. I

    Uuh.. Huyu msichana mpya hapa ofisini...

    ki ukweli hayo mambo ya kawaida ofisin same time unakuwa km watoto km ni wafanya kazi wa muda mrefu. ila huyu dada anaoneka anakutaka uwe mtu wake nawe nafsi yakuhanga ndio kabisa. Acha kujiumiza kwa tamaa za kijinga kaka yangu, huyo dada anaonekana ni mtongozaji hodari wa wanaume. ladha ya...
Back
Top Bottom