Kaka mimi ni mwanamke na nilisha tokewa na kisanga km hicho.
niliposema naacha jamaa hakuamini hv sasa nala bata kwa kwenda mbele.
HUYO TUPA KULEEEEEEEEEE!
ki ukweli hayo mambo ya kawaida ofisin same time unakuwa km watoto km ni wafanya kazi wa muda mrefu.
ila huyu dada anaoneka anakutaka uwe mtu wake nawe nafsi yakuhanga ndio kabisa.
Acha kujiumiza kwa tamaa za kijinga kaka yangu, huyo dada anaonekana ni mtongozaji hodari wa wanaume.
ladha ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.