Me370
JF-Expert Member
- Mar 10, 2008
- 985
- 293
Jitahidi uendelee kukomaa tu ndugu yangu ukimfuata sasa yeye ndo atakwambia hakutaki na utakachokuwa umefanya ni kujidhalilisha tu. Mi nikipiga demu chini kwanza nikimkumbuka tu Navuta negative memories zake alafu nazijumlisha pamoja zinakuwa ni Lundo la maovu. Alafu najiuliza kweli ninataka niyarudie haya...............?