Nikiwa msingi nilikataa kupitia deli la ice cream za mwalimu, mwalimu aliponiuliza nikamwambia mie nimechoka kubeba kila siku awambie na wengine, nikaitwa staff nikajibu vile vile, nikachapwa kidogo walimu wakaniamuru nilifuate, dadeq! Nikaenda home ckurudi ng'oo, kesho take nikakuta zigo la...