Why wanapenda maongezi ya simu?

Why wanapenda maongezi ya simu?

wanajf ni swal kwamba kwanini baadh ya wanawake wanapenda kucontact several times per day yan muda wote anakupigia cm na kwa bahati mbaya sometime hana cha kuongea but atapiga tu... nfanyeje ndugu nampenda but nachoka kupokea cm..
552922_372156722894648_360880327_n.jpg
 
Mi napenda kupigiwaa hata nikiwa naogaa sasa kama unampenda shida iko wapi unataka ampigie naniiii

Haya mapenzi bwana,mi nilikuwa napenda kupiga Simu kwa mpenzi wangu mda wote bila kujua nilikua namkera,alikuja nibwatukia neno sitasahau!!moyo wote ulikufa ganzi,nikawa simtafuti hadi anitafute yeye!,akaanza tena kunilaum ohh mbona siku hizi hunipigii, mara umepoa sana!
 
Mi mwenzenu sipigiwi na wala silalamiki, cku akipiga naogopa labda kuna jambo baya limetokea
 
Mie bado mgeni,naomba kuuliza, eti na visa vya kutunga na vyenyewe vinaombewa ushauri humu????????
 
Vumilia kwa sasa

Mkishaozoeana hali hiyo haitoendelea
 
km simu kupokea ni usumbufu mpe # ya box lk la posta aandike barua itaondoa hilo tatizo
 
Siku nikinyimwa kupiga na kutuma sms nafwaa.

Ila kuna watu jamani, bora waombwe tu vocha afu apigiwe mwingine.

Nunua simu ambayo ina touch screen ili vidole visichoke kupokea. Unaweza kununua wireless/ bluetooth headphones ili usichoke kushikilia simu. Ila huyo siku akiachabkuwa anapiga piga simu ujue keshapata asiechoka kupigiwa.
 
viumbe wazito kweli binadamu....

mawasliano ndio njia ya kujua tabia za wenzio wewe unaona kero kupigiwa
wenzio waatamani kupigiwa simu na wapenzi wao wewe hutaki au hujatulia???
 
wanaJF ni swali kwamba kwanini baadhi ya wanawake wanapenda kucontact several times per day yan muda wote anakupigia simu na kwa bahati mbaya sometime hana cha kuongea but atapiga tu... nfanyeje ndugu nampenda but nachoka kupokea simu.

Ngoja uingie kwenye ndoa halafu ukae years simu ya mkeo huoni ng'o na akikupigia ujue ana cha kuongea utakachokiona cha maana kama vile 'Mtoto anaumwa.(nukta)', "Mamaako kaja", "Nimpe fundi shilingi ngapi?", "Baba neema hujaacha ada ya neema unategemea niitoe wapi? ", "Usisahau mafuta baba fulani", "Umeme umeisha", "Baba neema lala huko huko kama unaweza kwa sababu sa ivi usiku sana si vizuri kutembea(It doesn't make any difference to her whether u sleep at home or not)". Then uone utakuja kuandika thread gani hapa.
 
viumbe wazito kweli binadamu....

mawasliano ndio njia ya kujua tabia za wenzio wewe unaona kero kupigiwa
wenzio waatamani kupigiwa simu na wapenzi wao wewe hutaki au hujatulia???
We mwache atakuja kuzikumbua hizo simu kipindi hiko anazisoma namba
 
Hahaha kwani PM ina extreme si unajua gharama za kupiga PM zilivyo juu.

we kuwa mpole bana! gharama zooote ni juu yangu mimi Excel! unanieleuwa?

when i say i am paying.. it means i have paid before!! my word comes after action..!

i hope your resistance now will come with a big yes! be happy with me!

 
Last edited by a moderator:
Me hayo mambo yakuongea bila mpangilio nilisha kataa
 
Mi napenda kupigiwaa hata nikiwa naogaa sasa kama unampenda shida iko wapi unataka ampigie naniiii

Sichukii yy kunipigia but ni vema akinipigia tuwe na la kuongea, unfortunately anapiga while nothing cha kuongea na hachoki anaendelea tu kucall dats prob!
 
Ngoja uingie kwenye ndoa halafu ukae years simu ya mkeo huoni ng'o na akikupigia ujue ana cha kuongea utakachokiona cha maana kama vile 'Mtoto anaumwa.(nukta)', "Mamaako kaja", "Nimpe fundi shilingi ngapi?", "Baba neema hujaacha ada ya neema unategemea niitoe wapi? ", "Usisahau mafuta baba fulani", "Umeme umeisha", "Baba neema lala huko huko kama unaweza kwa sababu sa ivi usiku sana si vizuri kutembea(It doesn't make any difference to her whether u sleep at home or not)". Then uone utakuja kuandika thread gani hapa.

Bora ingekua maswala hayo ya kifamilia ambayo yanajulikana ni kawaida kulko mtu anapga cm hana cha kusema mkimaliza then dkka kadhaa anapga tena, wastan kwa cku anapga hata mara 10.
 
mvumilie tu, may be anapata raha kusikia sauti yako tamu!
 
mbona hiyo tamu sana na bahati kubwa ...angalia usije ukatuma vourcher ww akapigiwa mwengine
 
Back
Top Bottom