Recent content by Ikkijr

  1. Ikkijr

    JamiiForums Tanzania Je, Yesu ALIMDANGANYA yule mwizi msalabani? Au neno “leo” inamaanisha kitu kingine?

    Luka 23:46 pia kabla ya kufa anatamka kwamba "baba mikononi mwako naiweka roho yangu ".
  2. Ikkijr

    JamiiForums Tanzania Simulizi ya Oktoba 29

    Makala hii ungetuma ushahidi kwa tume , kwamba kupigwa raia risasi ni onyo la kitaifa ?.
  3. Ikkijr

    JamiiForums Tanzania Wito: Yanga iondolewe CAF champions League kwa kujihusisha na siasa

    Na wewe uache siasa apa jukwaani
  4. Ikkijr

    JamiiForums Tanzania Mnaoomba Mungu na anawasikiliza uwa mnatumia mbinu gani?

    Hadi una masters means umebarikiwa . Asilimia chache ya watanzania wenye elimu kama yako . Wengine waliishia form 1 .Kua na Imani, to God patience is faith .
  5. Ikkijr

    JamiiForums Tanzania Simba tumeshajiandaa kisaikolojia na figisu ligi kuu za kukosa ubingwa misimu kadhaa kwa kutochangia harambee, tumesimama imara !

    Acha utapeli ,ubingwa auchukuliwi kwa kuchangia chama
  6. Ikkijr

    JamiiForums Tanzania Ajira za Utumishi

    Ok nmekupata
  7. Ikkijr

    JamiiForums Tanzania Ajira za Utumishi

    Sasa ajira portal sindio sekretaieti ya ajira
  8. Ikkijr

    JamiiForums Tanzania Ajira za Utumishi

    Nadhani wanabisha wakiwa hawana mifano dhahiri
  9. Ikkijr

    JamiiForums Tanzania Ajira za Utumishi

    Sababu wanayo toa ndio iyo barua aijawa addressed to psrs
  10. Ikkijr

    JamiiForums Tanzania Ajira za Utumishi

    Kama iyo kazi unaomba kupitia utumishi apo ndio changamoto inaweza tokea bila kutegemea pdf ya tangazo
  11. Ikkijr

    JamiiForums Tanzania Ajira za Utumishi

    Sio anabisha Kuna mifano hai ishatoke , tangazo liko addressed kwa kamishna wa misitu bado wanakwambia not shortlisted ujaweka anwani ya psrs
  12. Ikkijr

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Apa avina tatizo sababu vyeti vingi vya form 4 na 6 tulitolewa kwa initial ya kati . Na usaili tunafanya kawaida
  13. Ikkijr

    JamiiForums Tanzania JF challenge ya "NO REFORMS, NO ELECTION": Target replies 3K

    NRNE
  14. Ikkijr

    JamiiForums Tanzania Yaani wachezaji wa Yanga jana wako harusini halafu leo wanawafunga kizembe namna ile, kwanini tusiamini kuwa nyie mko kimkakati zaidi katıka hii ligi?

    Kweli wewe sio mwanamichezo .Umeshindwa ata kusifia umahiri wa saw jinsi alivyo mpora mpira nyanda wa ball djigui diarra .
  15. Ikkijr

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kwa usaili wa oral uliofanyika na watu wa afya kimikoa .Je, matokeo ya usaili yatashindanishwa kimikoa au kwa watu wote wa kada husika ?
Back
Top Bottom