Una
unazungumzia Aya tukufu halafu unazipinga kwa Utafiti wa Mwanadamu😀😀, Mwanadamu ambae Kaumbwa na Mungu kisha akampa huo ufahamu,halafu kwa kutumia ufahamu huohuo anampinga aliemuumba😁😁, Pole.Unaposema hizo stori hazipo vitabu vya kale kana kwamba kila kitu cha kale kimehifadhiwa🤓,Punguani...
Hatushangai Suala la kutaka Quran iwe katika lugha nyingi maana hata Mungu mmefanya yupo katika utatu🤣🤣.Yan Mungu mmeona hajitoshelezi peke ake ndo mtaikubali Quran.Mbona ww hutak mke wako awe wa wanaume wengi😅😅.Bata maji
Mkomb
mkombozi wa Waislamu ni Mtume Muhammad saw na sio Alii, wala yeye hakujitangaza kuwa ni mkombozi,Maswahaba wengi wamepigana Gazwa na Maarak kibao na wte wana Daraja sw mble ya Allah.Dini ya Uislamu sio dini ya ushabiki ,Simamisha swala 5 tenda wema,Hakuna mtu atabeba mzigo wa mwenzie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.