Mojtaba Khamenei achaguliwa kumrithi hayati baba yake…

Mojtaba Khamenei achaguliwa kumrithi hayati baba yake…

Ingekuwa ni mimi Mojtaba na surrender na kusema sitaki vita...
"Kwa Kufanya Hivi Unakuwa Hujaamua Kufa..?"
###KifoHakinaMaamuzi###
 
Just a reminder that Iran’s new supreme leader Mojtaba Khamenei has lost the following people in this war:

  • His father: Ayatollah Ali Khamenei (killed in the opening strikes).
  • His mother: (Mentioned in multiple sources as killed in the same or related strikes).
  • His wife: Zahra Haddad Adel (or Zahra Adel; explicitly confirmed killed in the strike alongside Ali Khamenei).
  • His son: (At least one son reported killed; some accounts specify a grandson of Ali Khamenei as Mojtaba's child).
  • His sister: (e.g., Hoda Khamenei or similar; reported in family casualty lists).
  • His brother-in-law: (Husband of his sister, killed in the strikes).
  • Other relatives: Including a niece and/or nephew (grandchildren of Ali Khamenei via Mojtaba's siblings).

I wouldn’t bet on him easing attacks anytime soon…
 
Vita ya iran na Israel ni ya kimkakati.

Wazungu wanatabia siku hizi ikifika mwezi wa ramadhan wanaweka maspika makubwa wakijua wenzao ni mwez kwa kukaa kwa utuliv, unyenyekevu polepole na ukimya na kutubu.

Sasa Makafiri wanaona ni mida wa kuwaletea vurugunchungulia nani kaanza kurusha maneno na makombira yakaanza. utasikia ni mzungu nguruwe.

Katika mazingira ambayo aidha wazungu wanayajua, muislam anayefia vitani wakati huu hata ndg hawababaiki. Ni kwamba amefia vitani. Guess what tena ametoka kufunga mchana usiku anaingia vitani bado tupo kwenye ibada.

Sasa ukizingatia, Israel anagombana kimabavu na waislam wa hammas kuna reverge hapo. Piga yao dhidi Israel ninkimkakati. Iran ni kaka kiranja wa dora za kiislam kwa hiyo hatataka kuwaonyesha wadogo zao uwezo.

lkn pia, Kitendo cha marekani kupigana pia, vita imebeba taswira ya Ukraine vs Russia kwamba Israel kusaidiana na marekani ni kwamba anapigana na maadui sahihi.

Kwa wairan wao hii ni vita ya kiymani
 
Muislam kufa akipiginia haki yake ni sunna. Wakiristo ndio wanaogopa kufa kwa sababu wanajua wakifa maisha yanakuwa magumu
Haki Gani ya ugaidi, kuuwa watu, na udikteta
laZima kobazi akileta uhuni wa ugaidi laZima atangulizwe akafaidi mabikra 72 na pombe tamu peponi
 
Sasa hivi anaenda kuogelea kwenye pipa la pombe
Na mabikira 72
1000234395.jpg
 
Back
Top Bottom