Carasco Putin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2022
- 12,484
- 35,637
R.I.P
Ni kwamba Mojtaba amesaini hati ya kifo chakeView attachment 3555242
Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amelishukuru Baraza la Wataalamu kwa kumchagua mrithi wa Ali Khamenei licha ya "tishio la Trump la kulishambulia kwa mabomu", kwa mujibu wa mashirika kadhaa ya habari ya Iran.
Ali Larijani anasema "maadui" wa Tehran walifikiri nchi "ingefikia mkwamo" kufuatia kifo cha Ali Khamenei, lakini Baraza hilo hatimaye liliendelea na mchakato wa kumchagua Mojtaba Khamenei.
Mojtaba Khamenei, mwenye umri wa miaka 56, alionekana kuwa na ushawishi mkubwa nyuma ya pazia, na ameshutumiwa kwa kuingilia chaguzi za urais, kuongoza kundi la wanamgambo la Basij, na kudumisha uhusiano wa karibu na Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC).
Licha ya ripoti na uvumi kuhusu ushawishi wake mkubwa, hajawahi kushikilia wadhifa wowote rasmi ndani ya Jamhuri ya Kiislamu.
Baba yake, Ali Khamenei, pamoja na mtangulizi wake, mwanzilishi wa Jamhuri ya Kiislamu Ruhollah Khomeini, wote walikuwa wamekosoa urithi wa madaraka wa kifamilia katika muktadha wa ufalme wa Pahlavi, ambao ulipinduliwa katika Mapinduzi ya Kiislamu ya mwaka 1979.
Mnamo mwaka 2019, Mojtaba Khamenei aliwekewa vikwazo na Marekani kama sehemu ya kundi la watu "walioteuliwa au waliofanya kazi kwa niaba ya" Kiongozi Mkuu wa Iran wa wakati huo, Ali Khamenei.
Mbona Lissu hajaserender?Au huo ukoo umeamua kufa? Baba kauawa,mama kauawa,sasa mnamchagua Mojtaba Khamenei,huku ni kumwandalia kifo tu.Ingekuwa ni mimi Mojtaba na surrender na kusema sitaki vita
Ukisha zaliwa katika familia za namna hiyo unakuwa trained katika psychology Yako kuweza kuona kuwa hicho ni kitu Cha kawaida , Hujawahi kuona watu wanajua fika kuwa madawa ya kulevya ni kitu hatari na ukikamatwa sehemu yoyote ile duniani ni msala mzito lakini Kuna watu wanayabeba na kupita nayo airport kama wewe unavyo pita na laptop Mbezi bus terminalIla kuna mambo yanaitaji courage and a lot of resilience, imagine unajua muda wowote unauliwa, na unawindwa kama swala porini.
Naam ushawishi ni mkubwa so I think wameogopa endapa wange mchagua mtu mwingine Taifa lingeweza ku- collapse kama anaushawishi mkubwa ndani ya jeshi unadhani Nini kingefuata if asingechaguliwa yeyeHuyu alijenga empire ya kushawishi kama Abduli tuu hana cheo lakini vishindo vinasikika
😄Kumbe hata ninyi chama cha kijani mnajua mishe mishe za mtoto wa malkia!!
Sindio kama Vietnam tu 😁Na ugumu wa hii vita nauona hapo! Kufa hawaoni ishu kabisa
Mbona lissu kazungukwa na TISS?Hapo amezungukwa na mossad na CIA wa kutosha bila kujijua 🤠🤠🤠
Muislam kufa ktk vita dhidi ya makafiri ni sunnaMuda wowote watamla kichwa, kama wale wa Hamas walivyokuwa wanachaguliwa na kuliwa vichwa fastafasta
Lissu hawez kusurrender kwasababu nchi iko chini ya nguruwe ambayo hata mavi yao wanakula so nguruwe wa ccm lazima wafurushwe.Mbona Lissu hajaserender?
Waislam washika dini hawaogopi kifoIla kuna mambo yanaitaji courage and a lot of resilience, imagine unajua muda wowote unauliwa, na unawindwa kama swala porini.
Trump anasema alitaka kuongea na Iran, Iran wakamwambia hawaongei na shetani mwezi wa RamadanAtafute Maridhiano Tu Na Watesi Wake
Wamejitolea kwa ajili ya Allah kiifo au kufa ni heshima hii ni jihadiIla kuna mambo yanaitaji courage and a lot of resilience, imagine unajua muda wowote unauliwa, na unawindwa kama swala porini.