Sidhani kama umefanya utafiti vizuri...yote hayo uloyasema kwa sasa yapo kwa makabila mengine. Kuna mshikaji alioa msukuma mgomvi balaa ubabe kuzidi hata hao wakurya; waliachana akapata demu wa kiHa, kafupi kagomvi balaa😂😂😂
Sasa kaoa mkurya ndo ana amani ...
NOTE: UBABE na ukatili ni hulka...
Sambamba na hiyo ni
1. barabara ya Mbezi Mwisho kwenda makabe, msakuzi, alubaba, dolphin mpk mpigi mahohe
2. Barabara ya mbezi mpaka Msumi
3. Barabara ya kwa msuguri Msingwa mpaka kifuru
Sisi wazanaki tunapenda VITUNGO zaidi kuliko wake zetu....mzanaki mie akheir uniibie mke wangu lakini sio kitungo changu...nakuchoma kisu cha masaburi😃😃😃
Waziri Jafo ana wake 3 mbona fresh tu? Hebu acheni hizo bana...
Kwa mkoa wa Mara hao wake 2 ni kidogo sana na idadi ya watoto pia ni ndogo sana...kawaida hao wake 2 wangepaswa kuwa na wa jumla ya watoto 22
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.