Recent content by Ihayabuyaga

  1. Ihayabuyaga

    Kanisa Katoliki Lawapa Mahala Pa Kuabudia Waumini wa Gwajima

    Sidhani kama walisali maana askari wenye silaha nzito walikiwa wametanda maeneo hayo jana..
  2. Ihayabuyaga

    Wanawake wa kikurya ni nomaa

    Sidhani kama umefanya utafiti vizuri...yote hayo uloyasema kwa sasa yapo kwa makabila mengine. Kuna mshikaji alioa msukuma mgomvi balaa ubabe kuzidi hata hao wakurya; waliachana akapata demu wa kiHa, kafupi kagomvi balaa😂😂😂 Sasa kaoa mkurya ndo ana amani ... NOTE: UBABE na ukatili ni hulka...
  3. Ihayabuyaga

    KERO Responded Barabara ya Mbezi Luis kwenda Mpigi Magoe ni mbovu sana, Wananchi tunateseka jamani

    Sambamba na hiyo ni 1. barabara ya Mbezi Mwisho kwenda makabe, msakuzi, alubaba, dolphin mpk mpigi mahohe 2. Barabara ya mbezi mpaka Msumi 3. Barabara ya kwa msuguri Msingwa mpaka kifuru
  4. Ihayabuyaga

    Mpaka naingia kaburini sidhani kama nitakujaga kuruhusu mtoto wangu yoyote awe polisi

    Usiishie kwa wanao tu, sema kizazi chako chote...😃😃😃 Babu yangu (Mungu amrehemu)alipiga marufuku wanawe, wajukuu nk kujiunga polisi na magereza isipokuwa jwtz Sijui aliwaza nini, na tumetii😃😃
  5. Ihayabuyaga

    Wanawake wote Tanzania mngekuwa kama Mke wa Mwijaku hakika Sisi Wanaume zenu tungewapenda Kunakotukuka

    Sisi wazanaki tunapenda VITUNGO zaidi kuliko wake zetu....mzanaki mie akheir uniibie mke wangu lakini sio kitungo changu...nakuchoma kisu cha masaburi😃😃😃
  6. Ihayabuyaga

    Mkurugenzi mkuu wa TANESCO aliyefariki kwa ajali kaacha watoto 15

    Waziri Jafo ana wake 3 mbona fresh tu? Hebu acheni hizo bana... Kwa mkoa wa Mara hao wake 2 ni kidogo sana na idadi ya watoto pia ni ndogo sana...kawaida hao wake 2 wangepaswa kuwa na wa jumla ya watoto 22
  7. Ihayabuyaga

    Huduma za Fr Felician Nkwera bado zinaendelea?

    Sky Eclat Padre Nkwera hajapata maono akiwa UDsm bali maono aliyapata way back 1968 akiwa padre mchanga kabisa huko parokiani Madunda jimbo katoliki la Mbinga (Songea enzi hizo). Huduma imesambaa Uk (bro Ikpor) na huko Zimbabwe, U.S. na kwingineko. Huduma bado inaendelea akiwa na msaidizi wake...
  8. Ihayabuyaga

    Msaada tafadhali: Nitumie njia gani kumsaidia Mtoto wangu ambaye ni mzito kidogo kuelewa Shuleni (Slow learner)?

    Hakikisha asubuhi anapata ndizi mbivu kabla hujaenda shule Pia mpe vyakula vyenye vitamin B6 kwa wingi Kwa ushauri kama uko Dar waone kituo cha SALT kilichopo Mbezi Makabe njia ya Madukani watakusaidia
  9. Ihayabuyaga

    Fahamu matokeo ya meditation

    Huko whatsap ni wapi maana hakuna link
  10. Ihayabuyaga

    Nimetengwa na ukoo baada ya kuachana na salamu za Kisukuma

    Wewe ni mshamba kama washamba wengine😂😂😂 Wakati nikiwa sekondari kulikuwa na mwalimu mmoja very bright sana kwenye masomo ya sayansi. Alisomea elimu ya juu huko kwa maNAZI ujerumani. Basi kwa kuwa shule ilikuwa na wanafunzi mchanganyiko wengine toka ukanda unaotoka wewe walikuwa wameambiwa...
  11. Ihayabuyaga

    Mohammed 'Mo' Dewji ametelekeza mashamba ya chai Rungwe, ajira zatoweka

    Wameshakopea benki kwa shughuli nyingine😂😂😂😂
  12. Ihayabuyaga

    Jumuiya za Kikristo toeni tamko la kupinga mdahalo unaolenga kudhalilisha ukristo

    Kuna fedheha zaidi ya ile ya Kristo kuangikwa msalabani? uKristo huwa haudhalilishwi bali uDini. Kinachodhaniwa kwamba ni udhalilishaji hugeuka kuwa kiki kwa uKristo ndo maana wanaofika kwa manabii na mitume asilimia kubwa sio waKristo
  13. Ihayabuyaga

    Pesa huwa na tabia ya kuitana na kualikana

    Je pesa ya mchungaji/pastor ama nabii/mtume iepukwe ama ibebwe? Kuna mtumishi mmoja akiombea watu wenye CHANGAMOTO ya kiuchumi huwapa hela yake say buku 10 ama 5 ama dola 1 nk. Nilicho-notice wale hohehahe hiyo "mbegu" huwa haizai ila kwa wafanyabiashara hurudi kushuhudia matendo makuu ya...
Back
Top Bottom