Recent content by Ihayabuyaga

  1. Ihayabuyaga

    JamiiForums Tanzania Namna ya kuuza hati fungani ya BOT

    Kachukue mkopo bank kwa kutumia hiyo certificate ya bonds
  2. Ihayabuyaga

    JamiiForums Tanzania Uzi maalumu kwa watu wenye UKIMWI

    Duh
  3. Ihayabuyaga

    JamiiForums Tanzania Huyu sio mwanao usimfokee, kama umechoka sepa! – Maneno ya singo mama

    Keshakupa green light sepa mwanangu
  4. Ihayabuyaga

    JamiiForums Tanzania Uzi maalumu kwa watu wenye UKIMWI

    Deception yuko wapi?
  5. Ihayabuyaga

    JamiiForums Tanzania Wanaume wenye ugonjwa wa Tezi dume vijijini wanakosa matibabu ya ugonjwa huo kutokana na umaskini

    Matibabu Bure ya wazee imekuwa kizungumkuti itakuwa ya kansa ya nyonyo? Huwajui wanasiasa were, wanasema hili ila utekelezaji ofyo
  6. Ihayabuyaga

    JamiiForums Tanzania Ifike mahali Vodacom na Airtel waige mfumo wa Yas kwenye Merchant Account

    Airtel unaweza kupata merchant account kwenye line yako hiyo hiyo ya airtel
  7. Ihayabuyaga

    JamiiForums Tanzania Ngono: Kwanini tumei-demonize?

    Ngono ni nzuri spiritually ni vile mmeiharamisha
  8. Ihayabuyaga

    JamiiForums Tanzania Kanisa Katoliki Lawapa Mahala Pa Kuabudia Waumini wa Gwajima

    Sidhani kama walisali maana askari wenye silaha nzito walikiwa wametanda maeneo hayo jana..
  9. Ihayabuyaga

    JamiiForums Tanzania Wanawake wa kikurya ni nomaa

    Sidhani kama umefanya utafiti vizuri...yote hayo uloyasema kwa sasa yapo kwa makabila mengine. Kuna mshikaji alioa msukuma mgomvi balaa ubabe kuzidi hata hao wakurya; waliachana akapata demu wa kiHa, kafupi kagomvi balaa😂😂😂 Sasa kaoa mkurya ndo ana amani ... NOTE: UBABE na ukatili ni hulka...
  10. Ihayabuyaga

    JamiiForums Tanzania KERO Responded Barabara ya Mbezi Luis kwenda Mpigi Magoe ni mbovu sana, Wananchi tunateseka jamani

    Sambamba na hiyo ni 1. barabara ya Mbezi Mwisho kwenda makabe, msakuzi, alubaba, dolphin mpk mpigi mahohe 2. Barabara ya mbezi mpaka Msumi 3. Barabara ya kwa msuguri Msingwa mpaka kifuru
  11. Ihayabuyaga

    JamiiForums Tanzania Mpaka naingia kaburini sidhani kama nitakujaga kuruhusu mtoto wangu yoyote awe polisi

    Usiishie kwa wanao tu, sema kizazi chako chote...😃😃😃 Babu yangu (Mungu amrehemu)alipiga marufuku wanawe, wajukuu nk kujiunga polisi na magereza isipokuwa jwtz Sijui aliwaza nini, na tumetii😃😃
  12. Ihayabuyaga

    JamiiForums Tanzania Wanawake wote Tanzania mngekuwa kama Mke wa Mwijaku hakika Sisi Wanaume zenu tungewapenda Kunakotukuka

    Sisi wazanaki tunapenda VITUNGO zaidi kuliko wake zetu....mzanaki mie akheir uniibie mke wangu lakini sio kitungo changu...nakuchoma kisu cha masaburi😃😃😃
  13. Ihayabuyaga

    JamiiForums Tanzania Mkurugenzi mkuu wa TANESCO aliyefariki kwa ajali kaacha watoto 15

    Waziri Jafo ana wake 3 mbona fresh tu? Hebu acheni hizo bana... Kwa mkoa wa Mara hao wake 2 ni kidogo sana na idadi ya watoto pia ni ndogo sana...kawaida hao wake 2 wangepaswa kuwa na wa jumla ya watoto 22
Back
Top Bottom