Sidhani kama umefanya utafiti vizuri...yote hayo uloyasema kwa sasa yapo kwa makabila mengine. Kuna mshikaji alioa msukuma mgomvi balaa ubabe kuzidi hata hao wakurya; waliachana akapata demu wa kiHa, kafupi kagomvi balaa😂😂😂
Sasa kaoa mkurya ndo ana amani ...
NOTE: UBABE na ukatili ni hulka...
Sambamba na hiyo ni
1. barabara ya Mbezi Mwisho kwenda makabe, msakuzi, alubaba, dolphin mpk mpigi mahohe
2. Barabara ya mbezi mpaka Msumi
3. Barabara ya kwa msuguri Msingwa mpaka kifuru
Sisi wazanaki tunapenda VITUNGO zaidi kuliko wake zetu....mzanaki mie akheir uniibie mke wangu lakini sio kitungo changu...nakuchoma kisu cha masaburi😃😃😃
Waziri Jafo ana wake 3 mbona fresh tu? Hebu acheni hizo bana...
Kwa mkoa wa Mara hao wake 2 ni kidogo sana na idadi ya watoto pia ni ndogo sana...kawaida hao wake 2 wangepaswa kuwa na wa jumla ya watoto 22
Sky Eclat Padre Nkwera hajapata maono akiwa UDsm bali maono aliyapata way back 1968 akiwa padre mchanga kabisa huko parokiani Madunda jimbo katoliki la Mbinga (Songea enzi hizo). Huduma imesambaa Uk (bro Ikpor) na huko Zimbabwe, U.S. na kwingineko.
Huduma bado inaendelea akiwa na msaidizi wake...
Hakikisha asubuhi anapata ndizi mbivu kabla hujaenda shule
Pia mpe vyakula vyenye vitamin B6 kwa wingi
Kwa ushauri kama uko Dar waone kituo cha SALT kilichopo Mbezi Makabe njia ya Madukani watakusaidia
Wewe ni mshamba kama washamba wengine😂😂😂
Wakati nikiwa sekondari kulikuwa na mwalimu mmoja very bright sana kwenye masomo ya sayansi. Alisomea elimu ya juu huko kwa maNAZI ujerumani.
Basi kwa kuwa shule ilikuwa na wanafunzi mchanganyiko wengine toka ukanda unaotoka wewe walikuwa wameambiwa...
Kuna fedheha zaidi ya ile ya Kristo kuangikwa msalabani? uKristo huwa haudhalilishwi bali uDini.
Kinachodhaniwa kwamba ni udhalilishaji hugeuka kuwa kiki kwa uKristo ndo maana wanaofika kwa manabii na mitume asilimia kubwa sio waKristo
Je pesa ya mchungaji/pastor ama nabii/mtume iepukwe ama ibebwe?
Kuna mtumishi mmoja akiombea watu wenye CHANGAMOTO ya kiuchumi huwapa hela yake say buku 10 ama 5 ama dola 1 nk.
Nilicho-notice wale hohehahe hiyo "mbegu" huwa haizai ila kwa wafanyabiashara hurudi kushuhudia matendo makuu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.