Mimi nilikuwa natafuta busara yake ya kumuingilia mtu bila sababu za maana sikuiona nikafikiri labda mimi nd'o sielewi kumbe wengi mliliona. Nafikiri pia ITV na hata vituo vingine vijfunze kuweka watu sahihi kwenye vipindi vyao wakiongozwa na maswala ya mvuto , uelewa , utanashati , ubunifu na...
Kwahiyo kwato kutokugawanyika nd'o kunamfanya ngamia kuwa haramu? Nadhani mkuu umechanganya msimamo wa imani ya madhehebu yako na uhalisia wa kitoweo. Marufuku zinazowekwa na imani fulani siyo lazima zifanye kazi ktk imani nyingine au nyanja nyingine za maisha. Kuna haja ya kutumia akili ya...
Hoja ya uwepo na kutokuwepo kwa Mungu itakuwepo siku zote. Mimi nadhani pande zote zina maswali muhimu mawili ya kujibu kuhusu uwepo au kutokuwepo kwa Mungu. Kwa wanaoamini uwepo wake wanatakiwa kuthibitisha na kwa wasioamini uwepo wake wanatakiwa kuthibitisha kuwa hayupo
Duuuh...! Pole na hongera mkuu.
Mshukuru sana Mungu. Simjui huyo nyoka jina lake ila ni kati ya nyoka wenye sumu kali sana.Nilishaona mtu aliyegongwa na aina hiyo ila tulimuwahi kwa tiba.
Angalia kama unafuga kuku au maeneo jirani yanfugwa kuku hupenda kula mayai na vifaranga. Pia kama kuna...
Mimi sijui kutukana mtu. Hapo sikutetea mtu nataka watu wasiendekeze ukabila tuangalie matatizo ya msingi na kimfumo ili kukwamua soka letu. Hata ukinitukana haitasaidia kuinua soka letu.
Kama historia ni somo ulilofaulu shuleni naomba ujibu maswali haya
1. Muhidin Ndolanga aliiongoza FAT kwenye 90s , je, ni muhaya?
2.Rage ( Aden ) alikuwa katibu FAT wakati huo , je, ni muhaya?
3.Boniface Wambura alishawahi kuwa katibu pia je; ni muhaya?
Kuna mafanikio yoyote ya maana ktk soka...
Afadhari umwambie. Wakati wa unyonge umekwisha. Nashangaa mtu anaishambulia nchi yako halafu eti anasema anakubaliana na adui yake. Watu wanatakuwa kuitetea nchi yao kwa gharama yoyote.Udhaifu wetu nd'o nguvu yetu ya kutusogeza kwenye maendeleo ; kamwe hatutakubali udhaifu wetu uwe unyonge wetu...
Kenyan's are jealousy of our natural resources and our unity. We accept the truth that we have our own challenges of which we are solving ourselves but we are not ready to compete or compare with our neighbors. We are confident enough. Comparison mostly is a sign of inferiority complexes ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.