Police na vyombo vingine vya dola/uchunguzi tuna walipa ili kulinda uhai wa watu..inapotokea matukio ya hovyo ya namna hii tena kwa mfululizo ni jukumu la vyobo hivyo kuchunguza,kukamata na kuwafikisha kwenye mifumo ya kisheria =,
Nje ya hapo tutaendelea kuvilaumu mpaka tuone kama wanawajibika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.