Marapaaah! Mtoto wa mkulima umechaguliwa Chuo cha kulipia ada milioni na nusu kipato cha mzazi laki moja kwa mwezi halafu haujapata mkopo lazima uahirishe kusoma usubirie mwaka kesho zisi is Tanzania tukutane 2020 ila kwa wale mliokosa mkopo mkapige kazi kitaa hamna namna
Ww ndo unamaamuzi babu why mamamkwe akupangie kwako tena mpaka unasema umpishe unafikiri wote wenyemvi wanabusara wengine wazidiwa na watoto wa miaka4 fukuza huyo atakuvurugatyuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.