Kampuni ya Petra Diamonds matatani kifedha

Kampuni ya Petra Diamonds matatani kifedha

Wafanye biashara S.A alafu waje kulipa Tz? shame you CCM
Punguza jazba, rudia kusoma tena mada kuu uelewe umeambiwa wanafanya kazi SA na Tanzania elewa hiyo kampuni ya Williamson iliyotajwa iko Mwadui mkoani Shinyanga na Serikali ina hisa ila kampuni mama makao yake ndio yako SA.
 
Niliuliza tangu mwanzo kukamatiwa kisado cha almasi ndio wayumbe hivi? Yaani wanakopa kwa kuweka rehani madini yetu? Hapana kabisa kabisa. Jpm shikilia hapohapo. Kuwa kama kupe ukiuma ukakutana na damu bora ufe na ngozi kuliko kuachia ukafa na njaa.
 
Kwenye group lenu la madog wa CCM wewe ndiyo wamekuteua kujibu hoja mkuu? pole sana mkuu na hivi unamkia butu.
Hovyo, leta hoja mezani, acha viroja.
Nyie ndio mnatia doa upinzani.
 
umefikilia padogo sana...

embu anza kwa kufikilia hili neno kama ujawahi kusoma hesabu za Linear Programming, "Point of distabance"
Kwa huu utawala katili hakuna biashara itasitawi.
 
af43227614a92de6a7f7bb6e3217d06f.jpg


Hii pete nikiiangalia inaweza kuwa na value zaidi ya m100. Sasa mtu umevaa m100 kwenye kidole. Hii m100 haiwezi kurisk mausha yako kweli. Huku bongo mtu anaauwawa kwa laki moja. Sasa uyu avae m100 kidoleni inakuaje. Au ndyo anatembea na maescorts na masniperz.
 
Hivi tunavyo ambiwa "watanzania tumechezewa sana" ina maana mpaka sisi wanaume?!
 
Back
Top Bottom