Bowlibo! Hakuna anayetwaliwa kwenda mbinguni,wote wanaokufa tunawafukia kaburini hadi kuja kwa Yesu mara ya pili,hili halina Msabato na asiye msabato,wote tunafukia kaburini
Pamoja na kutuletea polisi kibao,migambo kibao,trafiki wakawa polisi wa kawaida na magari ya maji ya kuwasha kila kona ya jiji la arusha,sisi hatukuogopa na tumefanya maamuzi yetu,arusha tunajitambua!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.