Recent content by igomekiamba

  1. igomekiamba

    Kwanini wanaume wanaongoza kwa kuchepuka kuliko wanawake?

    Hilo ni liroho la uashereti tu na uzinzi!
  2. igomekiamba

    ZANU-PF kumfukuza uanachama Robert Gabriel Mugabe kesho tarehe 19.11.2017

    Wakati mwingine mambo magumu yanamalizwa kirahisi sana
  3. igomekiamba

    Tetesi: Prof. Kitila Mkumbo kuchuana vikali na Nyalandu jimboni

    Pale Nyalandu hata aanzishe chama chake Leo na agombee anashinda kwa kishindo
  4. igomekiamba

    Je, ni kweli kwamba ukitaka kusafirisha Kitanda mkoa mmoja hadi mwingine unahitaji Kibali cha Maliasili?

    Hapo ni sawa kuomba kibali cha kusafiriri na ubwabwa kwa zuio la mchele
  5. igomekiamba

    Kwanini wanaume wa Tanzania wapo hivi?

    Mm niko likizo nasubiri shule zifunguliwe nirudi darasani
  6. igomekiamba

    Ninadaiwa kodi ya nyumba na sina kazi kwa sasa, msamaria mwema nisaidie

    Pole ndugu yangu,naamini suluhu itapatikana humu usiku wa leo
  7. igomekiamba

    Kituo cha Afya Fore Plan Clinic chafungwa

    Hapa ni kama tunadandia kwa mbele maana hii ni habari ya nov 2014
  8. igomekiamba

    TANZIA Mwanachama na mfanyakazi wa JamiiForums, Dotto Mnzava afariki dunia kwa ajali ya pikipiki

    Bowlibo! Hakuna anayetwaliwa kwenda mbinguni,wote wanaokufa tunawafukia kaburini hadi kuja kwa Yesu mara ya pili,hili halina Msabato na asiye msabato,wote tunafukia kaburini
  9. igomekiamba

    Maoni ya wanasheria kuhusu tukio la Makonda

    Ahamishiwe arusha mjini hapa kwanza,
  10. igomekiamba

    Arusha: Hongera Monaban (Mollel), CCM umeibeba vya kutosha

    Tatizo lao vichwa ngumu na wanazungukana wenyewe,wakaisome namba yao huko nyambafu!
  11. igomekiamba

    Mke wangu hataki niende kazini

    Tatizo unampapasa huyo,piga dozi ya ukweli atakufukuza mwenyewe
  12. igomekiamba

    Yaliyojiri Uchaguzi wa Ubunge Jimbo la Arusha mjini, Lema atangazwa mshindi

    Pamoja na kutuletea polisi kibao,migambo kibao,trafiki wakawa polisi wa kawaida na magari ya maji ya kuwasha kila kona ya jiji la arusha,sisi hatukuogopa na tumefanya maamuzi yetu,arusha tunajitambua!
Back
Top Bottom