Kwanini wanaume wanaongoza kwa kuchepuka kuliko wanawake?

Kwanini wanaume wanaongoza kwa kuchepuka kuliko wanawake?

Mgegedo

Member
Joined
Jan 19, 2018
Posts
91
Reaction score
89
Suala la kuchepuka kwa wanandoa kwa miaka ya hivi karibuni limekua ni kawaida kwa wanandoa na bila kupepesa macho wanaume ndio tunaoongoza zaidi kwa kuchepuka kuliko wanawake.

Mwanaume anaweza akawa na mchepuko au michepuko nje na mkewe asifahamu kabisa kama muwewe anachepuka.

Mara nyingi wanaume tumekua na usiri mkubwa sana pindi tunapochepuka tofauti na wanawake.Mwanamke akiwa na mchepuko nje lazima tu utajua mana ataanza kubadilika kitabia na dharau zitaanza ndani ya nyumba tofauti na wanaume ambapo mwanamke anawezakaa hata miaka mitatu na asijue kama muwewe anatoka nje ya ndoa.

Nini hasa husababisha hali hii kwa wanawake kushindwa kujizuia kuficha siri zao pindi wanapochepuka?
 
Maombi ya wanaume ndio yanawaumbua wake zao wakichepuka

Si unajua wanaume wanamwomba sana Mungu? [emoji12]
 
Mwanamke anaendeshwa na hisia ,ajui kucontrol hisia ila sis wanaume hata kama umemchukia mwanamke hatagundua coz hatuendeshwi na hisia

Hata mwanamke apatapo mimba ya nje ukiwa makin unaweza gundua coz atachange tofaut na mimba zilizopita
 
Unamuuliza nani apa..??jina lako linaakisi mawazo uliyojaza kichwani!! Very pathetic..rubbish
 
Mara nyingi mwanaume anachepuka shauri ya tamaa. Tako kubwa, rangi ya mtume, mdomo mzuri wa kunyonya denda blah blah blah.

Ila mwanamke anachepuka toka moyoni sababu ya kumpenda anayechepuka nae!
 
Mi jaman mume wangu ana michepuko mikaliiiiiikwao. inajiheshimuuuuu yan mpaka raha. Sio limwanaume halina mchepuko hata mmoja kazi kushikashika makalio ya mamalishe huko kazini kwao.
 
Kwan we utajuaje kama mkeo anachepuka ama lah wakati kila mtu na siri yake
 
Kwa sababu ndio wanatongoza
Ndio wanahonga katika Mahusiano
 
Back
Top Bottom