Recent content by igembe2018

  1. I

    Tecno Camon cx phone for sale 300,000

    Phone specification Internal storage 16 Gb Camera 16Megapixel both Rom 3Gb Fingerprint security Full metal body Adroid 7.0 Full High definition display 4G LTE network 4LED flash for low light enviroment Fast charging Wide angel front camera for group selfies Betry 3200 mAh Li- polymer...
  2. I

    Tecno Camon cx Tsh 300,000 Smartphone bei sawa na bureeee

    Phone specification Internal storage 16 Gb Camera 16Megapixel both Rom 3Gb Fingerprint security Full metal body Adroid 7.0 Full High definition display 4G LTE network 4LED flash for low light enviroment Fast charging Wide angel front camera for group selfies Betry 3200 mAh Li- polymer...
  3. I

    Gharama mpya za kununua umeme wa LUKU hizi hapa!

    Mtoa post ulitaka kutuonyesha bei ya umeme au mgawanyo wa pesa pindi unaponunua umeme. Sijakuelewa naona tu unajenga hoja badala ya kutuonyesha bei za umeme kama zimebadilika kama kichwa cha habari hapo juu. Tujadili mambo muhimu kama.ni siasa sema tukupatie mchango uende wenzio wako Dodoma
  4. I

    Msanii Irene Paul amtuhumu Rammy Galis kufanya maigizo kwenye msiba wa Masogange

    Hahahaha nadhani kwenye msiba huu kuna kitu cha kujifunza hasa wasanii wa kike. Juzi msanii Roma alisema watu wasipost picha za uchi za masogange sasa wapost zipi wakati enzi ya uhai wake alikuwa anapiga picha za namna hiyo. Na kanisa la wasabato hili pia mmefunika kombe mwanaharamu apite.
  5. I

    Rais Magufuli amteua Robert Msalika Makungu aliyekuwa Naibu Mkurugenzi TISS kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Tabora

    Bora kuacha kazi ukalime mihogo sio kwa dimortion hii. Kisaikolojia huwezi kuwa vizuri. Hivi wachina wanahitaji tani ngapi za mihogo
  6. I

    Yanga kuingia hatua ya makundi na kuidharau VPL ni uboya au upoyoyo?

    Narudia tena kwa hili hauhitaji kuwa na degree kujua tofauti ya million 600 na million 80 just simple calculation. Na tarehe 29 tunawapiga tu bora tupoteze kwa majimaji kuliko mikia fc
  7. I

    Yanga kuingia hatua ya makundi na kuidharau VPL ni uboya au upoyoyo?

    Hauhitaji degree kujua tofauti ya Ml 600 na Ml 80 just simple hata wa chekechea anaelewa haya mambo na tarehe 29 tuko imara bora tufungwe na majimaji kuliko mikia fc
  8. I

    Tecno Camon Cx bei sawa na bure

    400,000 dukani
  9. I

    Tecno Camon Cx bei sawa na bure

    Specification zake 5.5-inch IPS Display, 1080 x 1920 pixels (400ppi) 1.5GHz octa-core Mediatek MT6750T CPU with 2GB RAM Android 7.0 (Nougat) with HiOS 2.0 16GB Storage with support for memory card up to 128GB 16MP Rear Camera and 16MP Front Camera 4G LTE (up to 300Mbps) Fingerprint...
  10. I

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Ipo Tecno Camon Cx mpyaa kabisa Specification zake Full Metal Body Android 7.0 Nougat with HiOS 2.0 Full HD display with 2.5D Glass screen MT6750T Octa-Core 1.5GHz 3GB RAM Dual SIM Card with dual standby Super Screenshot Fingerprint 16.0MP front cameras 16.0MP FF back camera, with...
  11. I

    Malengo yametimia sasa nahitaji mke wa kuoa

    Wadau wote wa JF natumai ni wazima wa afya, Binafsi kila mtu anayo malengo yake aliyojiwekea na muda wa kuyatimiza. Malengo yangu yametimia na sasa nahitaji mke ili kujenga familia imara yenye upendo wa dhati. Wasifu wa mke Awe mkristo na mcha mungu kweli kweli. Awe mwenye mapenzi ya dhati na...
  12. I

    KUNA HAJA YA WAPENZI AU MKE NA MME KUSALIMIANA WAKATI MMELALA PAMOJA???

    Habari wadau wote hasa wataalamu wa mambo ya mahisiano. Hoja yangu ni kwamba kuna haja au umuhimu wa kusalimiana na mpz au mke mliyelala pamoja wakati wa asubuhi mnapoamka??? Inaweza kuonekana kama hoja ndogo lakini baadhi inatutatiza nikiwemo na mm. Msaada wenu utakuwa na manufaa kwa wote...
  13. I

    Je, ni sahihi kusema nimepata jiko badala ya kusema nimepata mke?

    Majina tunayowaita wanawake wanaoolewa inawezekana kuwa yanachangia sana kudidimiza hadhi na heshima ya wanawake na kuonekana kama wapishi na wahudumu wanaowatumikia wanaume. Nimeona niweke uzi huu ili tuyajenge. Sina lengo la kupotosha au kupendelea upande wowote. Naomba kuwasilisha
  14. I

    Naomba kujua taratibu za kuvunja ndoa ya kikristo

    Kaoe kwanza halafu ndio uje kuomba taratibu za kuacha mke. Inaonekana mharibifu sana
Back
Top Bottom