Jana ilishuka pips 70 in 3 minutes [emoji119]. Juzi ilifanya the same in 2mins, yaani ukitaka kuunguza account trade Gold bila stop loss, halafu tumia lot size kubwa[emoji23][emoji23]
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Kama ni kwa matumizi ya chuo tu, kikubwa angalia storage.
Storage ambayo ni uhakika huwezi kuijaza hata kama uwe na vitabu au slides nyingi kiasi gani ni 64GB.
Pia, unaweza ku'consider' RAM. Ila mara nyingi simu zenye Storage ya 64GB zinakuwa na RAM ya 4GB. Ambayo ni bomba.
Hivyo, bajeti ya...
Kwenye pesa, nakubaliana na wewe.
Kwenye muda, kama una kichwa kizuri unaweza kusoma huku unafanya mishe nyingine.
Kama hoja yako inalenga kwamba miaka sita ni mingi, naomba nikukumbushe hao wanaomaliza mapema wanabaki kulaumu wanasiasa kuhusu ajira. Hakuna la maana wanalofanya mtaani
Sent...
Naona hamjaelewana. Kuna tofauti kati ya Apple stores na Resellers. Kwenye website ya apple utakuta stores tu na sio resellers
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Nipo chuo mkuu. Ninayaishi maneno yangu, lakini pia nimeona ni vzr ku'share' knowledge hapa na wengine
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.