Kumpa pesa ni wajibu wako lakini ni kosa kubwa kumpangia matumizi unataka amgonge mama yako unaijua afya ya mama yako kwa undani? Hayo niya chumbani fanya yako kwake
Nani alikwambia mzazi anatengewa bajeti? Pili nani alikwambia hela unayompa inamtosha? Tatu je ulimwambia kwamba umeweka utaratibu huo wa kumpa fedha? Ujue wazee wa kiswahili wanapenda sifa ambazo hawakuandaa mazingira ya kuzipata sasa usipokuwa makini msaada wako unaweza kuwa laana, ule...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.