Recent content by IDyangu

  1. I

    Msiwakatae watoto wenu

    Halafu anajiita baba wa mtoto.
  2. I

    Matumizi ya power bank kwenye simu

    Asante kwa kuleta huu uzi.
  3. I

    Hili kuhusu UKIMWI

    Ni baada ya miezi mitatu hadi sita kwa uthibitisho zaidi.
  4. I

    Msiwakatae watoto wenu

    Pole sana. Ungemsamehe baba yako.
  5. I

    Msiwakatae watoto wenu

    Ahaa asante. lakini na hiyo roho ipo ndani yake
  6. I

    Msiwakatae watoto wenu

    Asante Hayajanikuta bali ni kushauriana.
  7. I

    Omba dua ndoto kama hii isikutokee

    Hiyo ndoto ni noma!
  8. I

    Msiwakatae watoto wenu

    Chondechonde, kwa wale wanaowakataa watoto wao wakiwa tumboni au baada ya kuzaliwa hasa wanaume. Jamani mnawapa shida watoto wenu. Roho za kukataliwa zinawatesa sana. Hata ukijamkubali baadae kwamba ni mtoto wako, wewe mwenyewe(mzazi) utaona kama hakujali, hakuheshimu(mtoto) vile. Kumbe...
  9. I

    Magumu gani umeyapitia/unayapitia katika kutafuta kazi?

    Dah pole sana mkuu. wahanga tupo wengi. Ila atafutae hachoki na akichoka kishapata. Ipo siku utasahau yote hayo. Usidhani kwamba umepoteza mud,a na resource nyingine kusoma. Mungu anampango wako amekuandalia. Muhimu kush viruses may I ufike. Usife moyo ndugu.
  10. I

    Mapenzi Kizunguzungu

    Haha haa
  11. I

    Nijuzeni kuhusu mapishi ya mbaazi

    Mbaazi tamu ukiunga na nazi. Pia waweza pika mbaazi kwa kuchanganya na nyama.
  12. I

    Daktari wa wanawake

    Asante sana.Nashukuru
Back
Top Bottom