Chondechonde, kwa wale wanaowakataa watoto wao wakiwa tumboni au baada ya kuzaliwa hasa wanaume. Jamani mnawapa shida watoto wenu.
Roho za kukataliwa zinawatesa sana. Hata ukijamkubali baadae kwamba ni mtoto wako, wewe mwenyewe(mzazi) utaona kama hakujali, hakuheshimu(mtoto) vile.
Kumbe...
Dah pole sana mkuu. wahanga tupo wengi. Ila atafutae hachoki na akichoka kishapata. Ipo siku utasahau yote hayo. Usidhani kwamba umepoteza mud,a na resource nyingine kusoma. Mungu anampango wako amekuandalia. Muhimu kush viruses may I ufike. Usife moyo ndugu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.