hekimatele
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 9,889
- 2,805
Power bank ni kama kutumia computer kucharge kifaa chako ingawa huwa powerbank zina current kubwa kuliko computer hiyo zina uwezo wa kucharge kifaa hadi kijae full kwa wakati tofauti na computer. Madhara yatakuwepo endapo unatumia powerbank inayotoa current kubwa kuliko hitaji la simu yako. Simu nyingi zinahitaji wastani wa 1A or 1000 mA na 5 Volts max.
Hapo nilipo bold ndo kwenye utata.
Ntajuaje kama hii powerbank niliyonayo ndo yenyewe ?