Mapenzi Kizunguzungu

Mapenzi Kizunguzungu

Na wanaume wengine Duu wakali, nilienda nyumba flani kununua kitu sasa wakati mwenye nyumba kaenda kutupa mfuko cm ya mpenzi wake ikaita kupokea huyo alokua anaongea Sijui kamsemesha kitu gani kibaya alipo rudi Yule mdada jamaa alianza kufokaa yani nikijisikia vibaya,yani nimejiulizaa hivi ni sifa au hashuo?
 
Pole sana DA,

Ndo maisha ya ndoa hayo na raha zake.

Mtu single atayajua wapi hayo?

Ukiuza utumbo basi uwe na mapenzi na nzi.....Take your time and give some feedback please!
 
Pole sana DA,

Ndo maisha ya ndoa hayo na raha zake.

Mtu single atayajua wapi hayo?

Ukiuza utumbo basi uwe na mapenzi na nzi.....Take your time and give some feedback please!

Acha tu my bro ni hatari..... But dawa yake iko jikoni ngoja tu....
 
Na wanaume wengine Duu wakali, nilienda nyumba flani kununua kitu sasa wakati mwenye nyumba kaenda kutupa mfuko cm ya mpenzi wake ikaita kupokea huyo alokua anaongea Sijui kamsemesha kitu gani kibaya alipo rudi Yule mdada jamaa alianza kufokaa yani nikijisikia vibaya,yani nimejiulizaa hivi ni sifa au hashuo?

I think hashuo zimemzidi sana huyu leo atadeki bahari we ngoja tu
 
Pole sana aise..kuna kesi moja nliipata oficini nkamwambia mshkaji..ivi ulishawahi kujiuliza kama nisingemuoa huyu mtu angekuwa na nani..!? Kwa sababu wakati mwingine tunaweza kuwa chanzo cha kusababisha mtu kuishi maisha ya tabu duniani, na wakati tungemwacha si ajabu angepata mtu ambae angemuheshimu zaidi..

Hapo sasa utadhani mtu kalazimishwa kumbe yeye ndo wa kwanza kupiga sound tena na ahadi tele
 
Jameni hajanifokea ila kaniacha main road bila kunisubiri twende wote thats the issue na home ni pori tupy

Hajatumia busara

Kwa hiyo anatarajia anarudije home?

Ukilala hoteli (kama yupo jf atakuja na uzi mke wangu kalala hoteli::::kama mumeo yupo jf lakini)

Ukitafuta mtu akusindikize ndio nafsi yake itakuwa shwaaaaari eeeh???

Busara

Busara

Busara
 
Mwanaume hakosei na akikosea ni kosa la mwanamke... This is Africa
 
Back
Top Bottom