Aisee yani kapeace umeongea ukweli mtupu.., Nikweli kabisa Mume ndani yanyumba siku zote anahitaji kunyenyekewa haijalishi Mmelingana kipato au Elimu sasa kwa Dada zetu wa sasa hicho kitu hawataki kukiskia kabis akisha jiona nayeye anaamka asubuh anaelekea kazini jioni anarudi nyumban hapo ndio...
Tutolee ujinga yule padri aliye uwawa Zanzibar miaka ile si alikuwa amewadhulumu wenzie aliokuwa akifanya nawo biashara ya madawa ya kulevya wewe hukumbiki mpaka serikali iliingilia kati suala hili hadi ikaagiza askari Wa uchunguzi kutoka Marekani (FBI) kwa ajili ya kulisaidia jeshi letu la...
Hizi ibada nyingine ni shida tu yani Leo mjini nilikuwa nakutana na wadada sura zao zimetapakaa majivu yani ukijumlisha na mekap walizo pakaa usoni Aisee nilibaki nawatolea mimacho tu huku nikijiuliza kwa nini walivyotoka ibadani wasiende nyumbani tu..
Dada umri wako tafadhali manake umetueleza vingi hapa ulivyo jaliwa na M/mungu ila umesahau kitu muhim., mtu asije akasumbuka kukufata pm kumbe mwenzetu ushachomoa kiumri yan (38)
Haya mambo ya akinadada kwenda namavazi yao ya kihasalahasala kanisani hivi si vishawishi bali hii ni laana wanayo peleka makanisan lamsingi wakuu wa makanisa hili swala wasiwe wanalifumbia macho wawe wanawaeleza ila cha ajabu baadhi ya makanisa unakuta wahubiri wanayo yahubiri juu ya wanaweke...
We mpaka unamtanulia muda mwingine unakamata dushe unajiingizia mwenyew hadi inafika hatuw unabeba ujauzito unakuw hujamjuw kama anakibamia? tutolee apa uzezeta wako
kuna basi inayo itwa Nyawahita inayosafiri Mwanza to kigoma kwanza muonekano wake tu ilikuwa haistaili kupewa root ndefu kama ile ya mwnz to kgm yani nilisafiri nayo kutok mwnz kgm aisee tulifika usiku wa manane wakati safar ya mwnz kgm ni Massa 12., yani Sumatra laiti wangelifaham hii gari...
acha mkuu ndiomaana ata Lana hazituishi utaskia Mara uchumi umeporomoka Mara mvuwa hazinyeshi nahata zikinyesha nizakuleta mafuriko., hiiyote inasababishwa namatukio ya kishetani kama haya..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.