Raphello
Senior Member
- Mar 20, 2017
- 159
- 196
Nasikia ni miaka 9,ila anakuwa hajakomaa vizur.Hivi mwanamke huvunja ungo akiwa na umri gani?
saa nyingine inabidi tu tuachane na wanasayansi uchwara.
Nasikia ni miaka 9,ila anakuwa hajakomaa vizur.Hivi mwanamke huvunja ungo akiwa na umri gani?
saa nyingine inabidi tu tuachane na wanasayansi uchwara.
Mwanamke anavunja ungo kuanzia umri wa miaka 9 mpaka 14..Hivi mwanamke huvunja ungo akiwa na umri gani?
saa nyingine inabidi tu tuachane na wanasayansi uchwara.
NI HUKU DUNIANI MKUU!!!!!!!Hana hata nyonyo ya kumpa. Ni wapi huko?
Miaka tisaHivi mwanamke huvunja ungo akiwa na umri gani?
saa nyingine inabidi tu tuachane na wanasayansi uchwara.
Mm huwa nakasirishwa sana na upuuzi anao ufanya mwanadamu na kuanza kusingizia dunia ni mbaya...DUNIA MBAYA
cc @kapeceNasikia ni miaka 9,ila anakuwa hajakomaa vizur.
Usichanganikiwe bali zid kutoa Elimu darasa na elimu duniaAisee! Wazazi tukipata habari kama hizi tunachanganyikiwa.![]()
![]()
![]()
![]()