Naamini CCM wanaakili sana,hata kama kunatatizo nape hawezi kujitoa ccm pia nape hawezi kuwa msaada kwa upinzani hata sikumoja,anachokifanya anataka kuelekea uchaguzi mkuu basi jina lake liwe midomoni mwa watu hii ni political technique anayoitumia nape but nape ni ccm damuuuuu
Sent using Jamii...
Katika kupunguza matukio ya uhalifu serikali ilipendekeza pamoja na kuwa askari wakukodisha mfn(kk.security) nilazima kuwe na askari wa jeshi la polisi ili kuimarisha ulinzi zaidi mkuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.