Kwanza unatakiwa kufahamu je simu inauwezo waku support 4g ya tigo? Kunan simu zingine zinauwezo wa LTE yani 4g lakini ikashindwa kupata speed ya 4g kutoka tigo kwahiyo mfahamu kua sio simu zote zenyeuwezo wa 4g zitaweza kupata speed hiyo. hayo nimatatizo ya frequnce za 4g ya tigo na frequnce...
Faida zipo kibao ktk 4G 》kwanza ili uweze kupata speed ya 4G lazima uwe na line ya 4G simu yako pia iwe inauwezo wakusupport 4G na eneo ulilopo liwe na netwotk ya 4G kwahiyo hizi laini zakawaida za 32K haziweza kupata speed ya 4G mapaka ui swap ktk line za 64K yani zenye uwezo wa kusuport 4g...
Pia nitawapa maujanja yakuweza kuona mechi yoyote ya nnje live nitawapa application ambayo chanel zote za DSTV mtaziona live chanel zote zampira namachanel yahabati full matakataka yote live unajua ni applicatiom gani?hahahhaha download app inayoitwa "mobdro" kupitia google then install...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.