danione
Member
- Oct 26, 2011
- 58
- 5
kuna kubypass unatumia evrythng fine isipokuwa 3g na gsm network.... kama simu inakuwa kama ipod tu using wifi!! ila hyo kitu ni bure kbsaa hata wewe unaweza ukafanya, kuna servers huwa wanazitumia
Naomba Msaada wako ndugu yangu Mimi nina iPhone 4s iLa nikiitumia hata kama ipod nitafurai sana kwa sababu nimeangaika kwa watu kutoa icloude Account wananiambia haiwezekani naomba nisaidie hata hiyo njia ya kubypass