Umeongea vizuri kwa upande wa klabu lakini ukweli sisi kama mashabiki was Mpira tuwe tunaangalia na upande wa mchezaji beno kazungushwa sana kulipwa pesa zake za usajili toka msimu uliopita na pia hajalipwa mishahara inasemekana sasa ni miezi minne na huku yeye ana familia inamtegemea kutoka...
Tatizo watu mnashindwa kukubali matokeo mbona Unai yy kakili kuwa barcelona iliwazidi kimchezo na walistahili kushinda,kama kweli walikuwa hawaguswi mbona akina pique,suarez,busquete walionesha kadi za njano tufikie mahala tuwe tunakubali uwezo wa mpinzani wako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.