Njemba Soro.
JF-Expert Member
- Oct 5, 2013
- 3,246
- 5,756
Huyu kocha wa Yanga Ndugu Mwinyi Zahera jana kavaa kipensi wakati alishafungiwa mechi tatu za ligi na TFF. Jana kocha wa Pyramid alivaa kwa heshima sana, na hata Patrick Ausems wa Simba ni kocha anayejiheshimu.... SASA HUYU ZAHERA ADABU GANI KUVAA BOXER AISEE..... Mbona anashindwa kuwa mstaarabu.... Yanga mnafeli wapi?