Hata saa 4 usiku wanaweza toa we jiandae tu piga piga pasi vizuri bila shaka umepita.Yaan wanatupa pressure, sasa mpaka saahizi hakuna kitu na kesho ni oral, maanake nini?
Hata saa 4 usiku wanaweza toa we jiandae tu piga piga pasi vizuri bila shaka umepita.Yaan wanatupa pressure, sasa mpaka saahizi hakuna kitu na kesho ni oral, maanake nini?
Hahah kada gani hivi?Saa 4 usiku tena? Wataniua mbona... Yaani hpa nimeshindwa ata kula![]()
Wengine militia fora...ulipga ya post ganiMbona wote tulipendeza bana...
Dah ngoja tuvute subiraYaan wanatupa pressure, sasa mpaka saahizi hakuna kitu na kesho ni oral, maanake nini?
Una hakika na unaloongea pia unafahamu jinsi ya utendaji wa Utumishi mkuu,jibu ni hivi matokeo wanatoaga j pili kwa saili zinazofanyika Ijumaa na J mosi ili j 3 na kuendelea watu wanafanya Mahojiano na kuhusu kuwa siku ya kazi au kutokuwa na kazi haiathiri matokeo na utendaji wao UTUMISHI.Mhh na Leo hawawez kutoa coz Leo so siku ya kaz
Ameen inshallah, ngoja nijiandae kwa lolote likavyokuja mbele yanguHata saa 4 usiku wanaweza toa we jiandae tu piga piga pasi vizuri bila shaka umepita.
Matokeo ya usaili wa mchujo uliofanyika tarehe 21 & 22 Sept, 2018 tayari mkuuKila la kheri mkuu
Naona wengi tumepata experience ya interviewAsante mkuu... Nimeona![]()
Kweli mkuu nipe contact tuwe tunashtuana mkuu.Kwa kweli... Next time tena aisee...
Kweli mkuu nipe contact tuwe tunashtuana mkuu.
Naweza nikawa nampitia kwenda kwenye interview...sisi sote n ndugu mkuuKweli we bodabodafasta naona unataka contacts ufanye fasta
Asante mkuu... Nimeona![]()