Mgiriki are you pointing on your EX or what. Acha kusema wanawake ovyo. Inakera. Mbona nyie mnawekaga vigezo? kama haupo tayari kuoa pishaa, na kama ushaoa tulia name mkeo, let people surf Love.
Wana Jf ninaombeni ushauri wenu juu ya hili jambo maana nahitaji kuokoa ndoa yangu.
Mimi na mme wangu tumeoana miaka zaidi ya kumi iliyopita lakini kwa kipindi kirefu sasa performance yake kitandani imedorora.
Kila tukiamua kula tunda yeye anawahi kumaliza na kuniacha mimi nikiwa nasumbuka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.