Recent content by icetea

  1. I

    WhatsApp kwenye iPad!

    Namimi nasubiri waje.
  2. I

    Akina dada msijidanganye

    Mgiriki are you pointing on your EX or what. Acha kusema wanawake ovyo. Inakera. Mbona nyie mnawekaga vigezo? kama haupo tayari kuoa pishaa, na kama ushaoa tulia name mkeo, let people surf Love.
  3. I

    Who Is Mange Kimambi? Jua ukweli wenye facts sio grapevine kumhusu huyu mtu, biography and facts!

    Admin tunaomba utuwekee vikaragosi maana wakati mwingine vinahitajika humu.
  4. I

    Jinsi ya kutumia namba mbili za whatsapp kwenye simu moja

    Thanks for sharing...ngoja wadau wajaribu watatupatia mrejesho.
  5. I

    Professional advise needed

    May God give u strength. I'm also thinking of PhD though I got no passion of teaching.
  6. I

    Picha: Happiness Magese sasa kukojoa kwa kutumia mipira

    So sad. Mungu akuponye jamani.
  7. I

    Opportunitity : Apply here with your idea on establishment of a new business

    Are you trying to collect people's ideas in order to open the same or? Get a life
  8. I

    Je unahitji logo/nembo

    Nitakutafuta mdau. Nimekuwa nikitafuta hiki kitu online lakini bei zao hazikuwa nzuri.
  9. I

    Mume wangu hanifikishi kileleni : Ushauri

    Funge. ulichokiandika kinaonesha kwa.jinsi gani ulivyo mvivu wa kufikiri. kama huna cha kuandika kaa kimya usilete mdomo kunuka.
  10. I

    Mume wangu hanifikishi kileleni : Ushauri

    Huyo atamsaidia mkeo na dada zako.
  11. I

    Mume wangu hanifikishi kileleni : Ushauri

    Maarifa. thanks kwa ushauri
  12. I

    Mume wangu hanifikishi kileleni : Ushauri

    asante Almight for ur quality advice. Barikiwa ndugu
  13. I

    Mume wangu hanifikishi kileleni : Ushauri

    Wana Jf ninaombeni ushauri wenu juu ya hili jambo maana nahitaji kuokoa ndoa yangu. Mimi na mme wangu tumeoana miaka zaidi ya kumi iliyopita lakini kwa kipindi kirefu sasa performance yake kitandani imedorora. Kila tukiamua kula tunda yeye anawahi kumaliza na kuniacha mimi nikiwa nasumbuka...
  14. I

    A warning Message to all Wives and Girlfriends

    Uwii. wewe hizi rules zako zimekaa ki mfumo dume. sikubaliani nazo.
Back
Top Bottom