Bro yaani hilo tatizo ata mimi ninalo nashindwa socialize kabisa na watu since primary hadi nao nko chuo.Ni mkimya sana yaani ata kushare idea kwenye group discussion inakuwa shida ila ni very bright sana darasani.
Kingine kinacho niogopesha nawez kaa ndani ghetto peke yangu bila kutoka nje ata...
Sasa ndugu yangu kwani hizo ndege zilikuwa zimekaa tu bila kufanya kazi?
Ofkoz zilikua zinafanya kazi. Na hapo hakuna suala la siasa Kuna mamlaka husika zimethibitisha inaweza kufanya kazi.
Ebu tuwe wazalendo na tuonshe support yetu kwa mheshimiwa raisi kwa kupongeza mazuri anayofanya.
Sent...
Tatizo sio illegal au vinginevyo.
Tatizo media zipo kwa interest zao binafsi kutafuta trend YouTube na viwers na subscribe so wanajikuta wanabase kwenye vitu visivyo vya maana ili kutengeneza attention na vitu kma hvo.
Mimi na blame sana hizi online TV hazipo kwa ajili ya kujenga wao ni biashara...
Hiko hv wale wenye suti nyeusi ni maofisa wa tiss pamoja na bakabaka jukumu lao n kutoa security guard kwa raisi na wako na vifaa maalum vya kudetect mtu mwenye silaha ,na yule kanali nyuma ya raisi sio mlinzi ila ni msaidizi wa raisi tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.