Vladimir Lenin
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 3,613
- 5,101
Scenario za utapeli ulizoziorodhesha hapo ni za kumtapeli mluga luga aliedondokea town akiwa na siku tatu hvi, mtoto wa mjini hawezi akaingia kingi kwa njia hzo,
ExactlyHujaandika chochote brother.
Hapo hakuna utapeli, jiulize nini maana ya utapeli halafu uje uandike upya.
Mtu akikutumia picha za mitego then akakuomba vocha ukamtumia, anakuwa amekutapeli kivipi?
Kwani makubaliano yenu ni yapi zaidi ya ombi lake la vocha ambalo umeliridhia mwenyewe kwa hiali?
Utapeli ni pale unapokubali kufanya transaction fulani kwa ajili ya kupata kitu fulani ambacho umekiona au kuamini na baada ya malipo usikipate na ukarukwa kabisa na mpokeaji.
Au ukalipa deni kwa mtu mwingine aliejitokeza kukudai ukidhani ndo yule anakudai na mmpenga umlipe ndani ya wakati huo.
Ulichoandika huwatokea wapuuzi tu na huwa hawatapeliwi coz hata kisheria hamna kesi.
Umeguswa nini?Hakuna ulichoandika zaidi ya utoto tu, utapeli wa kizamani huo
Hakuna ulichoandika zaidi ya utoto tu, utapeli wa kizamani huo
Hujaandika chochote brother.
Hapo hakuna utapeli, jiulize nini maana ya utapeli halafu uje uandike upya.
Mtu akikutumia picha za mitego then akakuomba vocha ukamtumia, anakuwa amekutapeli kivipi?
Kwani makubaliano yenu ni yapi zaidi ya ombi lake la vocha ambalo umeliridhia mwenyewe kwa hiali?
Utapeli ni pale unapokubali kufanya transaction fulani kwa ajili ya kupata kitu fulani ambacho umekiona au kuamini na baada ya malipo usikipate na ukarukwa kabisa na mpokeaji.
Au ukalipa deni kwa mtu mwingine aliejitokeza kukudai ukidhani ndo yule anakudai na mmpenga umlipe ndani ya wakati huo.
Ulichoandika huwatokea wapuuzi tu na huwa hawatapeliwi coz hata kisheria hamna kesi.
Ikawaje?C aliingia mtego jamaangu
Nahisi ndio tapeli mwenyewe,,maana humu jf utakuta mtu anakomaa kupinga kumbe ndio kibaka mwenyeweNilichogundua ni kwamba wewe hata maana ya utapeli huijui. Uko gizani kabisa yaani Kigoma ndaaani ndani kabisa msituni.
Sh ngapi?Kuna kibaka alitaka kunitapeli ,sasa alibugi step na mimi nikatumia opportunity hiyo hiyo kumtapeli yeye. Kila siku anapiga simu naomba nirudishie ela yangu
Na wawe utakuwa kati ya matapeliUshahidi tosha mkuu peleka kwenye vyombo husika.
Umenunua fixed match unasema umetapeliwa inakuwa vipi wakati umepewa mechi Mkeka umechanik utapeli hajui hupo vipi mbn anaonga pesa kwa demu haji kutangaza km ametapeliwa cwez kununua fixed match hata siku MOJAHujaandika chochote brother.
Hapo hakuna utapeli, jiulize nini maana ya utapeli halafu uje uandike upya.
Mtu akikutumia picha za mitego then akakuomba vocha ukamtumia, anakuwa amekutapeli kivipi?
Kwani makubaliano yenu ni yapi zaidi ya ombi lake la vocha ambalo umeliridhia mwenyewe kwa hiali?
Utapeli ni pale unapokubali kufanya transaction fulani kwa ajili ya kupata kitu fulani ambacho umekiona au kuamini na baada ya malipo usikipate na ukarukwa kabisa na mpokeaji.
Au ukalipa deni kwa mtu mwingine aliejitokeza kukudai ukidhani ndo yule anakudai na mmpenga umlipe ndani ya wakati huo.
Ulichoandika huwatokea wapuuzi tu na huwa hawatapeliwi coz hata kisheria hamna kesi.