Kwan hawa walio andaman [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] embu nicheke wanataka nn maan kam serekali imenunua ndegee na hali imezid kuwa mbay kiuchumi bongo sas za nn c bora zikae tu chin
HM: makondo kusema kwamba wakristo kuowa wanawake wawili je, ni sawa au ndio kutafuta kiki mjini au ni kweli itakuwa imesaidia dada zetu kukaa nyumbani muda mrefu bila ya kupata mchumba?
Kwan jamaaa Kuna kitu anakipata kwan mpaka umekuwa umefikia hapo ujawai kupewa zawad ya bei rahisi basi saivii mtu amekuja kunukia pafyum nzuriii bas anasemawez pewa zawad ya 11,000
Na swal kwako lady iviii lazim umnunulie mpenzi wako nguo za ndan mbon watu wanapendag izooo zawad maan hata demu wangu aliniambia ananiletea zawad nashangaaa boxsa nikakataaaa mm
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.