Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Ivi watanzania wajinga na kikundi hiki nani kawaroga? Ivi tunaonekana shule zetu zinavyotoa elimu ya kijinga.
Sie tuna katiba inasema kuna mihimili 3 yaani serikali, bunge na mahakama na vinajitegemea haviingiliani. Ila ukweli kwa tanzania kuna muhimili uliojichimbia chini zaidi yaani unaingia kote kote.
Kwa swala la ndege kwa wenzetu ni zuio la mahakama sio serikali ya afrika kusini. Kwenda balozini maana yake unaishutumu serikali ya afrika kusini ndio wamekamata ndege.
Na kuna habari baada ya kukamatwa mwenyekiti wa sadc alimpigia rais wa SA bila shaka aliambiwa serikali na mahakama haviingiliani na dawa ya deni ni kulipa.
Sijaelewa hawa waandaa maandamano ya maigizo wamefikiria wenzetu walioko SA wakijibiwa kwa vitendo atalaumiwa nani?
Ivi kati ya tanzania na SA nani anamuhitaji mwenzake? Wamefikiria hayo?
Sie tuna katiba inasema kuna mihimili 3 yaani serikali, bunge na mahakama na vinajitegemea haviingiliani. Ila ukweli kwa tanzania kuna muhimili uliojichimbia chini zaidi yaani unaingia kote kote.
Kwa swala la ndege kwa wenzetu ni zuio la mahakama sio serikali ya afrika kusini. Kwenda balozini maana yake unaishutumu serikali ya afrika kusini ndio wamekamata ndege.
Na kuna habari baada ya kukamatwa mwenyekiti wa sadc alimpigia rais wa SA bila shaka aliambiwa serikali na mahakama haviingiliani na dawa ya deni ni kulipa.
Sijaelewa hawa waandaa maandamano ya maigizo wamefikiria wenzetu walioko SA wakijibiwa kwa vitendo atalaumiwa nani?
Ivi kati ya tanzania na SA nani anamuhitaji mwenzake? Wamefikiria hayo?