Recent content by ibraahkevy

  1. I

    Kikatiba Rais Samia yuko sahihi kumteua Naibu Waziri Mkuu

    Well stated na mwenye akili ataelewa
  2. I

    Bolt kusitisha huduma ya magari kwa wateja binafsi

    Bolt kwa madereva inawaumiza sana, makato yao ni makubwa kupita kiasi, inafikia hatua ambayo dereva ukimuita anamaliza trip kabla ya safar alaf bei mnamalizana kwa mazungumzo.
  3. I

    EWURA: Taarifa kwa umma kuhusu bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli kuanzia 1 Desemba 2021

    Tanzania ndio nchi pekee yenye matatizo kila sekta kuanzia Umeme, Maji, Gesi, Mafuta hivi kwa nini nijivunie Tanzania labda. Mama tuachie nchi yetu plz
  4. I

    ECU

    Siyo shida ila kuna modification nataka nifanye kuna parameter inatakiwa iwe added kwny ecu
  5. I

    ECU

    Asante
  6. I

    ECU

    Asante mkuu pia ningeomba kuuliza hivi fuel pump ikistop kufunction inaweza chukua mda gan gari kuzima
  7. I

    ECU

    Naomba kujua ECU/ECM zinaweza kuwa reprogrammed
  8. I

    Engine Manangement

    Wakuu naomba kuuliza hivi ECU/ECM inaweza kufanyiwa reprogramming
  9. I

    Ummy Mwalimu tumefanikiwa kudhibiti ugonjwa wa Corona nchini

    Lab test ya ugonjwa ipo moja mabibo DSM (TGNP), take note on that acha kupotosha umma
  10. I

    Ningeomba tumjengee Sanamu Rais magufuli

    Nakuunga mkono,, kuundwa kwa sanamu siyo lzma mliabudu kwn dunian kuna sanamu za watu maarufu ngapi je hizo sanamu zinaabudiwa? Sanamu ni symbol ya heshima na kumbukumbu anayopewa mtu aliyefanya mambo makubwa katika jamii fulani. Sent using Jamii Forums mobile app
  11. I

    The World is a flat plane and not a globe

    Ety lbda wagundue nn kwny maeleza anasema dunia n flat ambayo haina mwsho really kuna ki2 ambacho hakina mwsho kwl[emoji119][emoji23] Sent using Jamii Forums mobile app
  12. I

    The World is a flat plane and not a globe

    Watu wanaenda ila cyo kihorera ndio maana ya hyo treaty na si kwamba watu wamezuiwa mfano researchers na scientific purposes uwanja n wao kwenda Sent using Jamii Forums mobile app
  13. I

    The World is a flat plane and not a globe

    N kwl dunia inazunguka na kwa speed kbwa sema kwa kuwa diameter ya dunia in kubwa mno na sisi tupo kwny dunia na dhairi kuwa huwez inotice kama inazunguka bt sincerely it's in motion Sent using Jamii Forums mobile app
  14. I

    Rais Magufuli amedanganywa kuhusu kupima papai, fenesi, mbuzi nk

    Raisi mpk ameliongea kwny hotuba ake ina maana ameshajiridhisha kikamilifu na hata ingetokea kapeleka nchi zngne asingeweza kusema kwa umma maana hayo mamlaka hana. Hivyo n vyema viongozi husika waliangalie hlo kwa sura nyngne n jinsi gan wataweza kuleta majbu sahihi Sent using Jamii Forums...
  15. I

    TANZIA Dkt. Masumbuko Lamwai afariki dunia

    RIP Lawyer[emoji31][emoji29][emoji24] Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom