Hongera, ila michango ya wadau usiipuuze la maana lifanyie kazi utafanikiwa zaidi.ila kata bima hata wakifa kwa ugonjwa au kuibiwa utalipwa fidia.usiamini mambo ya weka dawa ya kuzuia wezi
Kubota pitia mala kwa mala hapa kijiweni,nina imani mpaka sasa ulisha boresha mradi wako wa mkaa, siku hizi unatengeza mkaa wa kisasa sio ule wa kuharibu mazingira
Usiseme kazi yoyote unadhalilisha taaluma ya udereva,kwa kauli yako hiyo inaonyesha haujapita N I T, kasome ili uondokane na fikra za kuona udereva ni kazi ya kawaida kawaida tu
Hili ndo tatizo la watz, unalipa hela kibao kwenye bima bado ukipata ajali tena unalipa hela kutengeneza gali! Siku nyingine ukipata ajali hata kama umegonga wewe pima ajali nenda kituoni andika maelezo kama gari yako haijaharibika sana endelea na ishuzako huyo akawadai bima yako au yake,mambo...
Wengi wanatamba kuwa hawaini uchawi,uchawi ni imani tu, mambo yao yanawaendea vizuri tu, lakini anasahau alivokuwa mimba mamake alitumia dawa za kinga,alivokuwa mchanga alivalishwa likamba jeusi lina mafundo kibao kiunoni na mkononi,na ulivomkubwa mamake anatumia dawa ili mwanae huko alipo mambo...
Wenyewe wachawi wanapitia hiz post zenu wanawacheka mnavyohangaika kujua uchawi,kumbuka nasikia uchawi una miiko yake na mwiko namba moja ni sili, mkeo,ndugu,mtoto,mzazi wako anaweza kuwa mchawi na ukuishi nae usijue kama ni mchawi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.