Labda hawakujipanga vizur kulingana na idadi kubwa ya waombaji, ila hiyo interview ni njia tu ya kupunguza watu sio kwamba ndio watapata walimu bora kwa mtihani wa skumoja wa maswali ya kuchagua kuliko mitihani mingi mtu alofanya akiwa chuo mpaka kufaulu.
Af huwezi amini mimi nlikua na jirani yang wa age hiyo ila mimi ni sawa na mtoto wake wa kiume lakini story tulizokua tunapiga utasema ni rika langu tukianza story za mademu duu ni hatar hadi nimehama bado tunaongea sana hata kwe simu.
Mimi pia ninachangamoto nilikosea kujaza verification certificate,nikakuta sehemu ya degree zimejisave mara tatu na hamna sehemu ya kufuta yaani nahesabika kama nina degree tatu wakati ni moja nimetuma email hazijibiwi.
Huyo ndio mzuri yani ukirudi tu nyumbani unamvuta chumbani unamnyooshaa na usiku unampa show ya maana bila kusahau kumpiga cha asubuhi huyo atakuheshim sana.
Sio chadema tu na waafrica wengi sababu kuu ya kumpenda Putin ni kwasababu anapinga LGBT, lakini kuhusu mambo mengine hawaangalii jana naona wanaanza uchaguzi lakini kuna mpinzani wake mmoja nae anamsifia Rais wale wapinzani hasa wapo uhamishoni au wameuwawa ni full dictator kwa ufupi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.