Hapo wanajaza wenye professional zinahitaji leseni kama engineer, Wahasibu, wanasheria, madakitari pharmacist nk.Namba, msaada kwa wale wazoefu wa ajira portal hii sehemu ya professional qualifications mwalm unaweka cheti gani???
Pole wameweka namba pale jaribu kuwapigiaMimi pia ninachangamoto nilikosea kujaza verification certificate,nikakuta sehemu ya degree zimejisave mara tatu na hamna sehemu ya kufuta yaani nahesabika kama nina degree tatu wakati ni moja nimetuma email hazijibiwi.