Mi ninachoshangaa ni mambo mawili, kwanza kwa hawa ndugu zetu wanajiita wkristo kutoonesha kuhisi uchungu wa ndugu zao Waislamu, kwa kuwa dhana ya Waislamu itakuwa kukme hawa wakristo sio wema kwao, sa tukifikia hapo... tujue tunaiingiza nchi katika matatizo makubwa, maana watakachoona waislamu...