Leo wanamtaka eti membe asamehe wakati heshima yake inavunjwa utu wake unazalilishwa mbona hawakumsii musiba asiyafanye hayo au hao ndio walikuaa wanamtuma kuyafanya yale. Hakuna cha kusamehe hii iwe fundisho kwa wengine kama yeye
Kwa kawaida akili ya mtu kwa mtu mwingine na sawa tu Imani ya mtu kwa mtu mwingine kila mmoja anamuona mwenye Imani tofauti na yeye anatakiwa kuxhunguzwa Afya ya akil yake
Kisha akishaipata hiyo pesa afanyie nini na yeye shida yake ni Monika ambae alishawahi kumnyandua akiwa hata hana pesa. Kuna watu wanapesa lakini hawapati hitajiobla moyo wao. Pesa sio ndio kila kitu
Shida ya kosho sio pesa ni penzi la Monica ambalo alishawahi kulipa pasipo kuwa na pesa na akafurahia penzi lake akawa anachitiwa mwenye pesa na kupewa yeye sio lazima sote tuwe na pesa mahitaji yanatofautiana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.