Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Hii ndio raha ya kuwa na shemeji mjini
a2066a97f640cd6d8d362dff3b54bd15.jpg


-Ndumilakuwili-
Duh kumbe mjini raha hivyo
 
Ni vile hawajui tu, tunakuwa na heshima na upendo wa hali ya juu wakiwa wawili au watatu, gubu , makasiriko na stress zinapatana na kwa mtu mwenye mke mmoja


Sema haya mambo hayana formula bwana....

Ni kuomba tuu Mungu upepo ukuendee vizuri.

Kitu Mungu ametuficha ni kujua au kusoma fikra au mawazo au yaliyomjaza mtu moyo wake.... vinginevyo tungekimbiana huku na kule ingekuwa tafrani.

Pata picha unasoma fikra za mtu anayekuja kwako kama mwenye mapenzi ya kweli kumbe kajia fedha na mali zako, au unasoma mawazo ya anayetaka kukuwekea limbwata au anayetaka kukuendea kwa mganga.... balaaa.....🤪
 
Back
Top Bottom