Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,503
- 57,041
Katika ubora kwako kasie!
Nimetamani mno wakina dada wangesoma comment hii!
🤣🤣🤣🤣Ukiachwa tutajumuika Tena 🥴🥴🥴
Salaam madamEehehehee hii haiwi kwa wanawake wote....
Hizi ni akili za Kasinde 🙂.
Nimependa segment hii, ndio nimetamani wengi wajue.maana asili ya mwanaume ni kuwa na wengi, wanaopinga na wapinge kivyao).
Duh kumbe mjini raha hivyoHii ndio raha ya kuwa na shemeji mjini![]()
-Ndumilakuwili-
Salaam madam
Nimependa segment hii, ndio nimetamani wengi wajue.
Ni vile hawajui tu, tunakuwa na heshima na upendo wa hali ya juu wakiwa wawili au watatu, gubu , makasiriko na stress zinapatana na kwa mtu mwenye mke mmojaHeshima upendo na amani vikiwepo, mengine yanajitelezea tuu
Ni vile hawajui tu, tunakuwa na heshima na upendo wa hali ya juu wakiwa wawili au watatu, gubu , makasiriko na stress zinapatana na kwa mtu mwenye mke mmoja
Za bahati mbaya zipo ila bahati mbaya moja huleta bahati nzuri nyingine.Ni kuomba tuu Mungu upepo ukuendee vizuri
Natamani kungekuwa na uwezekano huo , moja kati ya wenye wenye nia njema ni mimi ila hawanielewi.Pata picha unasoma fikra za mtu anayekuja kwako kama mwenye mapenzi ya kweli kumbe kajia fedha na mali zako, au unasoma mawazo ya anayetaka kukuwekea limbwata au anayetaka kukuendea kwa mganga
Natamani kungekuwa na uwezekano huo , moja kati ya wenye wenye nia njema ni mimi ila hawanielewi.
😂😂🤣🤣🤣🤣Mguu wa babake