Recent content by iamriq_arthur

  1. iamriq_arthur

    JamiiForums Tanzania Mke wangu anahitaji kazi yoyote ila ndani ya Dar kasoro mama ntilie na bar tu

    Kumbe huyu, mbona nilishamt$$$mba sana zaidi ya mala kumi
  2. iamriq_arthur

    JamiiForums Tanzania GARI AUTOMATIC KUZIMA GHAFRA IKIWA KWENYE MSELELEKO

    Kwanini gari ndogo automatic ikizima ghafra ikiwa kwenye mseleleko break zinaishamo ukikanyaga hazikamati nifanye nini ili gari lisimame linaookua kwenye mseleleko?
  3. iamriq_arthur

    JamiiForums Tanzania Natafuta mtaalamu wa kutengeneza akaunti ya Bolt

    Nahitaji kutengenezewa account ya bolt, Mimi ndo Dreva mwenyewe najiendeshea sema account ndo sina
  4. iamriq_arthur

    JamiiForums Tanzania Natafuta mtaalamu wa kutengeneza akaunti ya Bolt

    Ntumie namba yako
  5. iamriq_arthur

    JamiiForums Tanzania Natafuta mtaalamu wa kutengeneza akaunti ya Bolt

    Natafuta mtu anaeweza nitegenezea account ya bolt chap chap niingie mzigoni before mwezi wa nne.
  6. iamriq_arthur

    JamiiForums Tanzania Kipi unafanya ili kujituliza wakati unapitia magumu?

    Kama umepanga nakushauri badilisha mazingira, hamia mtaa mbao hawakufahamu kabisa hata mtu mmoja then ukifika anza ukurasa mpya, Hivyo ndivyo nilivoishinda depression
  7. iamriq_arthur

    JamiiForums Tanzania Kipi unafanya ili kujituliza wakati unapitia magumu?

    Yan kwa sasa unavojihisi mimi nilishawahi kata tamaa nikatamani kujinyonga, lakn nlifikiria ndo nlkua nmepata kitoto kidogo dem wangu alikua ameshajifungua, niliwaza sana nikijinyonga mwanangu ataishi maisha gan hapa duniani na ukizingatia ni mtoto wa kike, nlipiga moyo konde nikanyanyuka kwenda...
  8. iamriq_arthur

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kimbiji Kigamboni, ni sehemu nzuri ya kuponea

    Au bandali tuigawe bure kabisa, maana tunaona inatuchanganya tu
  9. iamriq_arthur

    JamiiForums Tanzania Kuishi Dar es Salaam uwe na akili ya kutafuta pesa

    Exactly 🤝😂
  10. iamriq_arthur

    JamiiForums Tanzania Kuishi Dar es Salaam uwe na akili ya kutafuta pesa

    Wewe simbilisi unataka kusema nini kwan 😎
  11. iamriq_arthur

    JamiiForums Tanzania Hivi unawezaje kuishi nje ya Dar es Salaam

    🤣🤣🤣 we jamaa majibu yako yananifurahisha sana aseeh 🤣🤣🤣
  12. iamriq_arthur

    JamiiForums Tanzania Kuishi Dar es Salaam uwe na akili ya kutafuta pesa

    Nimefanya utafiti wangu kila kona ya Dar es salaam nimeona wazawa wengi wa hili jini wote ni mabandidu wasio na huruma na hawaogopi lolote juu ya swala la pesa, watu wakilala wakiamka wanawaza pesa. Kila kitu ni pesa, ukimsimamisha mwanamke njiani ukimuona namba badae ataanza kukuelezea shida...
  13. iamriq_arthur

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada: Nina tatizo la kumchukia mtu wa jinsia yoyote anayefanana na adui yangu kwa sura

    Me pia natamani niwe normal hii hari initoke ndio maana nmekuja hapa jukwaani kuomba msaada wa ushauri jinsi ya kuachana na hari kama hii
  14. iamriq_arthur

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada: Nina tatizo la kumchukia mtu wa jinsia yoyote anayefanana na adui yangu kwa sura

    Natumai mu buheri wa afya tele, Bila kupoteza wakati, naombeni tiba ya kutatua tatizo hili. Nina tatzo la kumchukia mtu yeyote nnayekutana nae barabarani anaefanana na adui yangu ama mtu nisiyempenda naye ntaanza kumchukia hapo hapo. Yaani haijalishi kama hajawahi nikwaza ntamchukia hivyo...
Back
Top Bottom