Tatzo lako utakua lazy katika kuupdate....kwa windows 8.1 hadi 10 zipo very stable. Achana na ma antivirus ya kununua haya tumia windows defender....ni mwaka wa pili huu nna windows 10 na hainisumbui...
Very true... Microsoft hawana app nyingi ambzo zipo sokoni nimetumia microsoft mobile last year....its boring
Very few apps ila mwanzo mgumu inakua taratibu i think aftr some years watarudi vizuri na windows 10 yao ipo poa
Hizo 300m zikiwekewa hiyo tizen zitanunuliwa 10m tu....sababu ya kununua samsung ni android na si kingine....
I think kitu kikubwa wabadilishe interface...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.